umbile

Humbo born

New Member
Joined
Nov 29, 2011
Posts
2
Reaction score
0
jamani nini dawa ya uume. mdogo.?? nataka kuwa na uume mkubwa kidogo.
 
Tafuta sausage tree (Kigelia), ukipata nishtue nikuambie cha kufanya
 
Wasliana na huyu Dk namba zake ni 0784842271,ana mafuta fulani ivi!
 
Hayo ni maumbile sasa tapatapa uje ujiumize mwenyewe.
 
Kwani ya kwako ina ukubwa gani kwa sasa na unataka iwe na ukubwa upi?
 
Mtafute yule wa kimara maana alitumia dawa ya kuongeza ikaongezeka mpaka akashindwa kutembea.
usisahau kumafutia na mama watoto naye aongeze kidogo maana la sivyo utamkosa
 
Mdogo sana!!!!
kila mtu anapewa kwa saizi yake ukute uliyeandaliwa kuwa naye(mke) naye anayo nyembamba mi naona utafute ushauri wa mautundu haijalishi ndogo au kubwa mke ataridhika tu.
 
kaka kwani tatizo nini? hufiki kileleni ? au tatizo shemeji au wachumba wanasema mtarimbo wako ni emoro? Lakini mimi naona hakuna haja ya kutafuta dawa kuongeza huo mtarimbo wako, kwani Mungu ana makusudi yake ya kukupa hicho ulicho nacho pia unatakiwa kumshukuru, Just imagine angekupa mtarimbo kama tango la Tsh 500 halafu likawa halifanyi kazi yaani limelala dolooooo 7/365, si bora ushukuru Mungu wewe unao mdogo lakini unatwaga kwa kwenda mbele. Ndugu kumbuka kwamba kila kitu ambacho si cha asili huwa kina madhara yake baada ya muda fulani. Unaweza pata huo mkubwa lakini ukawa tena ufanyaji kazi wake ukwani ni wa mashaka tena mpaka uangalie picha za kikubwa ndio udise. ACHA KUTAFUTA DAWA, ILA MSHUKURU MUNGU KWA KILE ALICHOKUPA. Pia jifunze kujiamini na kuutumia vizuri tu huu mtarimbo wako mbona ukiutumia vizuri watakuwa wanarudi na kutaka tena na tena , pia kumbuka ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi, ebu take it bro.
 
nijuavyo mimi ukiwa na 15cm yaan 6inch ikiwa dedee hakuna mwanamke wa kukushinda ila kama kama upo chini ya hapo mh!!! Huenda kweli kunahaja ya kufanya ivo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…