Mkuu mama kamchambisha sana labda vuzi tuu ndo litakua jipya kwa mama kuonaSijawahi vaa taulo kwenda bafuni hua matumizi yake ni kujifutia tu kisha naliwwka pending
Huwa nashangazwa sana na watu wanaovaa mataulo sijui wana confidence gani. Nilishangaa nimemtembelea mchizi maskani kwao anaenda kuoga yuko tumbo wazi kavaa taulo na maza yake yuko around na wala hastuki
Wana uwaga wanatukwamishaga mmnoKipindi nipo chuo kuna mwamba nilikua nakaa nae sasa kuna siku nilikuta madoa sehemu ninapofuta usoni na mwilini na kwny nafutia mbupu naona madoa pia nikajua mwamba aidha kafutia viatu au kitu kingine toka hapo nikageuza dekio la ghetto.
[emoji38][emoji38][emoji38]Utapokuta mwana amefutia hio taulo yako kwny mstari wa ikweta.
imeisha hiyoDaaa mkuu kwaio ndo zako
Yan mwana alikua sela mavi mno na kipindi hicho tulikua tumezinguana so akatumia hiyo njia kunikomoa.Wana uwaga wanatukwamishaga mmno