1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Baada ya kuchangamana na watu mbalimbali hatimaye unajigundua madhaifu yako,, pia unadhani labda yale Malezi uliyolelewa pia yamechangia kiasi flani
Ila umepiga Moyo Konde ukaweka Utayari na Uthubu hatimaye Unajigundua kumbe una Uwezo mkubwa tu wa kupambanua mambo mbalimbali iwe ya kijamii,kisiasa hata kiuchumi,, na hii pengine baada ya kuona watu flan flan wanakukubali hapo ulipo au kokote uendako,,
Baada ya kusoma hii Nyuzi basi acha Nukuu yako,, ili tuisome huenda na sisi tukabadilika,,
Ila umepiga Moyo Konde ukaweka Utayari na Uthubu hatimaye Unajigundua kumbe una Uwezo mkubwa tu wa kupambanua mambo mbalimbali iwe ya kijamii,kisiasa hata kiuchumi,, na hii pengine baada ya kuona watu flan flan wanakukubali hapo ulipo au kokote uendako,,
Baada ya kusoma hii Nyuzi basi acha Nukuu yako,, ili tuisome huenda na sisi tukabadilika,,