Kwanza na penda kutanguliza salaamu kwenu wadau wa JF.Napenda kuwa juza kwa wale walio chaguliwa kwenda chuo cha uhasibu yani na maanisha TIA, Ebu ni eleze sifa za chuo hicho kwanza ma lecturer wote wapo fiti yani kitaluma pia na mambo ya ICT yapo poa kabisa,ila kwa upande wa kitabu yani ukifanya uzembe uta feed supu,kwani neno supu lina maanisha Sapulimenteri pia kuDisco kupo inje inje,cha msingi piga buku 2.
KWA UJUMLA TIA IKO FITI,kwa mfano kwa wale ambao wamemalizia Diploma yao hapo TIA wajua namnagani Mitihani inavyo kuwa,kumbuka TIA kina campus 5 like Mbeya,singida,mtwara,mwanza,Na main campus ni DSM,ambapo zina tolewa Certificate,Diploma, Degree,Hadi Masters na PHD ,sasa kuanzia certificate hadi diploma ,kipindi cha mitihani kwani campus zote zina fanya mtihani mmoja,kwahiyo like form four,JAMANI KARIBU SANA TIA,
KWA UJUMLA TIA IKO FITI,kwa mfano kwa wale ambao wamemalizia Diploma yao hapo TIA wajua namnagani Mitihani inavyo kuwa,kumbuka TIA kina campus 5 like Mbeya,singida,mtwara,mwanza,Na main campus ni DSM,ambapo zina tolewa Certificate,Diploma, Degree,Hadi Masters na PHD ,sasa kuanzia certificate hadi diploma ,kipindi cha mitihani kwani campus zote zina fanya mtihani mmoja,kwahiyo like form four,JAMANI KARIBU SANA TIA,