dr_vivo_dar
Member
- Mar 15, 2022
- 17
- 12
Mambo vipi?
Mimi nauza simu bwana. Lakini kwa wateja ambao wanatafuta simu zenye storage kubwa.
Yaani umechoka kufuta picha au document ofisini mara kwa mara. Na unatafuta simu yenye uwezo mkubwa.
Utaalam wangu mimi ni simu za vivo. Sina uzoefu na simu nyingine yeyote ile.
Kama unazijua au umemwona mtu anazitumia ~ na una changamoto ya kufuta document za simu mara kwa mara unaweza ukaendelea kusoma.
Zipo za aina nne:-
✓V235g - 128gb + 12gb ram - 1,190,000
✓V23e - 128gb + 12gb ram - 719,000
✓Y33s - 128gb + 5gb ram - 560,000
✓Y21 - 64gb + 4gb ram - 450,000
Zote ni:-
✓4g
✓Double line
✓Zina warranty miaka miwili
Ofisi yetu ipo kariakoo mtaa wa Aggrey jengo la China Plaza. Ground floor. Kuna bango kubwa la vivo kwa nje.
Kama una maswali ya ziada unaweza ukauliza. Karibuni wote
Mimi nauza simu bwana. Lakini kwa wateja ambao wanatafuta simu zenye storage kubwa.
Yaani umechoka kufuta picha au document ofisini mara kwa mara. Na unatafuta simu yenye uwezo mkubwa.
Utaalam wangu mimi ni simu za vivo. Sina uzoefu na simu nyingine yeyote ile.
Kama unazijua au umemwona mtu anazitumia ~ na una changamoto ya kufuta document za simu mara kwa mara unaweza ukaendelea kusoma.
Zipo za aina nne:-
✓V235g - 128gb + 12gb ram - 1,190,000
✓V23e - 128gb + 12gb ram - 719,000
✓Y33s - 128gb + 5gb ram - 560,000
✓Y21 - 64gb + 4gb ram - 450,000
Zote ni:-
✓4g
✓Double line
✓Zina warranty miaka miwili
Ofisi yetu ipo kariakoo mtaa wa Aggrey jengo la China Plaza. Ground floor. Kuna bango kubwa la vivo kwa nje.
Kama una maswali ya ziada unaweza ukauliza. Karibuni wote