INAUZWA Umechoshwa na Computer yako kuwa nzito? Suluhisho ili hapa

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463

Solid State Driver (SSD) Ndo suluhisho la uzito wa Computer yako! Simple tu Unatoa Hard Disk unaweka SATA SSD ata kama machine yako ina Ram GB2 lakini ukiwa na SSD Computer yako itakuwa nyepesi kuliko mwenye Computer yenye RAM 8 alafu inatumia HARD DRIVE yakawaida.


Sio bei kubwa mdau wangu, ni Tsh 80 elfu kwa GB 256.

KARIBUNI SANA.
+255622901670
 
Hizi zimepitwa na wakati pia.

Siku hizi ni mwendo wa NVMe M.2
 
Aliniambiab fundi hii kitu.
Lakinib nahisi computer tunazouziwa Tanzania/ nyingi zina shida. Kuna computer za ulaya. Ninaposema za ulaya yaani zilitengenezwa kwa minajili ya soko la ulaya koz zina vitu vya hardware ambyo unakuta vipo specific kwa lugha ya kinadish. Hizi kompyuta zina disc na ram kama hizi zetu lakini zao zipo fasta kinoma sijui shida inakuwa wapi. Kwa hizi tunazouziwa akina siye
 
Issue sio aina ya Computer! Nenda Kenya tu hapo! Mtu ikumuweka HDD kwenye Computer yake hakuelewi ata kidogo, sisi huku bado tunatumia HDD hizi


Kiukweli hizi ni nzito sana, ila weka ssd kwenye machine yako then weka RAM 4 utaenjoy sana kuliko ata ambae anatumia HDD GB 1000 RAM 16.
 
Laptop Dell Latitude 7480 6 Generation
Processor:- Core i5 CPU@2.40GHz (4CPJs)
Memory 8 GB
Storage 256 GB SSD
Battery 🔋✓
Touch Screen ✓
Keyboard Backlight ✓
Tsh 750,000/= Na risiti yako ya EFD unapata


 

Attachments

  • IMG20220909123925.jpg
    386.1 KB · Views: 10
  • IMG20220909123933.jpg
    422.4 KB · Views: 7
  • IMG20220909124000.jpg
    816 KB · Views: 9
  • IMG20220909124026.jpg
    417.8 KB · Views: 9
  • IMG20220909124015.jpg
    785.7 KB · Views: 10
  • IMG20220909124054.jpg
    518.9 KB · Views: 8
  • IMG20220909124109.jpg
    871.7 KB · Views: 9
  • IMG20220909124411.jpg
    1 MB · Views: 11
Kwani mkuu unataka machine ya aina gani yenye spasification zipi? Serolious mpya unahitaji maana full box haitapungua milion 1.3 full box kwa bei generation 8-9 ila inaweza kufika ata milion 2 -3 inategemea na Generation unayoitaji na specifications zake
 
Mkuu laptop yang nkiweka window haimalizagi ata week ina corrupt nahis nkiweka hiyo SSD Itasadia?
 
Mkuu laptop yang nkiweka window haimalizagi ata week ina corrupt nahis nkiweka hiyo SSD Itasadia?
Kucorrupt kwa windows kunaweza kusababishwa eidha na wadudu, file windows kufutika au tatizo la hard ware yaani hdd zenye life ndogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…