Umeelewa nini katika picha hii ya mchoro?

Umeelewa nini katika picha hii ya mchoro?

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Itazame vizuri hiyo picha ya mchoro, halafu niambie umeelewa nini. Nasoma comments zote.

1725620912919.jpg
 
Kazi hazifanyiki kushinda kwenye mavideo and alike .. wanamadawa ya kienyeji mizizi lakini wanaignore na kufundishwa tiba za kisasa ... Jua ndo chanzo cha nishati tunalikwepa tumewekewa uzio wa kushidwa kuelewa shetani anarun dunia ..wengine wachache wamestuka
 
Imetokea tu sijui kwa namna gani hasa katika uzi huu kuwa wote mliochangia uzi huu ni watu makini sana na wenye kitu cha pekee kwenye nafsi zenu!

Mmeweza kuona?
  • Shetani kawafungia watu shimoni (katika fikra na mawazo potofu)
  • Humo kajenga ukuta kati yake na wao hata wasiweze kumwona
  • Kwamba shetani yupo nyuma ya mambo ambayo wanadamu walio wengi wanaamini kuwa ni kweli, kumbe actually ukweli upo nje kabisa na yale tunayooneshwa na shetani
  • Shetani is a manipulator of the truth
  • Huwanywesha watu vyakula vya sumu kama pombe n.k. halafu wakiugua huwaletea dawa na kuaminisha bila dawa hizo hawawezi kuishi (sekta ya tiba inawapumbaza watu wengi)
  • Kumbe ukweli ni kuwa maisha ya asili na kuishi ukweli/mwanga (truth) ndio jibu la maisha yetu.
  • Dawa zetu zote zinaweza kutokana na vyakula vya asili tunavyokula kila siku
  • Uhuru wa mwanadamu hutokana na kuishi maisha ya ASILI!
Itazame vizuri hiyo picha ya mchoro, halafu niambie umeelewa nini. Nasoma comments zote.

View attachment 3088631

Jamaa anawaonesha hii movie wananogewa kuangalia baadae anawaua hayo mafuvu lakini kuna mmoja mjanja kashitukia anatoka kwenye shimo vizuri ili asiuwawe kama wengine.

Kiufupi shetani ndio ana pull the strings. Huyo jamaa ameshtuka hataki kuwa attached.

Shetani ana wa brainwash wanakosa mwanga wa jua ili awaue

Watu wameacha mwanga, mimea, miti na uhuru, wapo shimoni kwenye giza wanaaminishwa tiba na mambo ya kisasa ndio njia inayofaa.

The Movie of how artificial drugs kills, and we the people we don't care though we know ,but fewest among us avoid

The dead leading the mortal

The dead leading the mortal


huo mchoro unausisha na shetan mara nyingi utafsirika kama mchoro wa kifo.
uenda mchara kibonzo alimaanisha Kifo na sio shetani.

Kazi hazifanyiki kushinda kwenye mavideo and alike .. wanamadawa ya kienyeji mizizi lakini wanaignore na kufundishwa tiba za kisasa ... Jua ndo chanzo cha nishati tunalikwepa tumewekewa uzio wa kushidwa kuelewa shetani anarun dunia ..wengine wachache wamestuka

Nimeelewa kama wewe.
 
Kazi hazifanyiki kushinda kwenye mavideo and alike .. wanamadawa ya kienyeji mizizi lakini wanaignore na kufundishwa tiba za kisasa ... Jua ndo chanzo cha nishati tunalikwepa tumewekewa uzio wa kushidwa kuelewa shetani anarun dunia ..wengine wachache wamestuka
Wewe unakuja Kuna kwenye maana halisi ya kibonzo👏🏽
 
Imetokea tu sijui kwa namna gani hasa katika uzi huu kuwa wote mliochangia uzi huu ni watu makini sana na wenye kitu cha pekee kwenye nafsi zenu!

Mmeweza kuona?
  • Shetani kawafungia watu shimoni (katika fikra na mawazo potofu)
  • Humo kajenga ukuta kati yake na wao hata wasiweze kumwona
  • Kwamba shetani yupo nyuma ya mambo ambayo wanadamu walio wengi wanaamini kuwa ni kweli, kumbe actually ukweli upo nje kabisa na yale tunayooneshwa na shetani
  • Shetani is a manipulator of the truth
  • Huwanywesha watu vyakula vya sumu kama pombe n.k. halafu wakiugua huwaletea dawa na kuaminisha bila dawa hizo hawawezi kuishi (sekta ya tiba inawapumbaza watu wengi)
  • Kumbe ukweli ni kuwa maisha ya asili na kuishi ukweli/mwanga (truth) ndio jibu la maisha yetu.
  • Dawa zetu zote zinaweza kutokana na vyakula vya asili tunavyokula kila siku
  • Uhuru wa mwanadamu hutokana na kuishi maisha ya ASILI!
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
 
WATU WAMEONDOLEWA KWENYE Asili Yao nature huo ukijani uliojuu ya nchi....Wamenyimwa Chanzo cha mwanga alisi Jua, sun wametengenezewa mwanga bandia amboa sasa wengi wanaweza kuuona Kwa uraisi Ila mwangA huo unalazimishwa kuishi kwa kutumia madawa etc ...mtu akitaka kupanda au kutoka kwenda kwenye mwanga halisi njia ni ngumu sana
 
Imetokea tu sijui kwa namna gani hasa katika uzi huu kuwa wote mliochangia uzi huu ni watu makini sana na wenye kitu cha pekee kwenye nafsi zenu!

Mmeweza kuona?
  • Shetani kawafungia watu shimoni (katika fikra na mawazo potofu)
  • Humo kajenga ukuta kati yake na wao hata wasiweze kumwona
  • Kwamba shetani yupo nyuma ya mambo ambayo wanadamu walio wengi wanaamini kuwa ni kweli, kumbe actually ukweli upo nje kabisa na yale tunayooneshwa na shetani
  • Shetani is a manipulator of the truth
  • Huwanywesha watu vyakula vya sumu kama pombe n.k. halafu wakiugua huwaletea dawa na kuaminisha bila dawa hizo hawawezi kuishi (sekta ya tiba inawapumbaza watu wengi)
  • Kumbe ukweli ni kuwa maisha ya asili na kuishi ukweli/mwanga (truth) ndio jibu la maisha yetu.
  • Dawa zetu zote zinaweza kutokana na vyakula vya asili tunavyokula kila siku
  • Uhuru wa mwanadamu hutokana na kuishi maisha ya ASILI!
Umefanya analysis nzuri ya picha kwa kusummarize yote ya wengine. Naona shetani amezuiya ukweli usiwafikie watu. Hiki kibonzo kinaelezea maisha yetu hasa waafrika kwenye nyanja zote kama dini, elimu, utamaduni, afya, maendeleo etc. Swali ni nani atakuja kututoa kwenye shimo? Jibu ni alie na mawazo ya miaka 200 iliyopita ambayo tiba zetu, elimu zetu etc vilikuwa na maana. Lakini ukiwa na mawazo hayo unaonekana hamnazo kwa wale wale unaotaka kuwasaidia.
Tujitafakari tulipo na tunapoenda
 
Back
Top Bottom