Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
I am Single🎸🎻
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto keshakubali.....ila wahivi raha sana mambo ya viaibu aibu......,,sio wale unakohoa tu kidogo mtoto anageuka anakukata jicho kali kama tochi ya askari wa barabarani , anangojea ufanye finishing tu,,,,....mjini tunakula vibudu sanaI am Single🎸🎻
View attachment 3149772
Hatari sanaMtoto keshakubali.....ila wahivi raha sana mambo ya viaibu aibu......,,sio wale unakohoa tu kidogo mtoto anageuka anakukata jicho kali kama tochi ya askari wa barabarani , anangojea ufanye finishing tu,,,,....mjini tunakula vibudu sana
Uhakika ngoma Iko na vibe sanaIla konde huu wimbo alitoa aisee
Sasa mwamba hapa Kuna madhara Gani watu Wana enjoy?Gongo ukinywa usiku madhara yake ndo hayo sasa
Wamelala hao
UumbwaaaThe Stress Challengerr Maghayo The Mongolian Savage mbona una force? kunywa kangara yako acha kiherehere.
Mbusiiii weweUumbwaaa
Hahahaha huyu mwamba jau kweli, sasa linajichekesha nin😂🙌🏽I am Single🎸🎻
Hogo lishakakamaaHahahaha huyu mwamba jau kweli, sasa linajichekesha nin😂🙌🏽
Hogo linatakaNani anafuata hapa?
Yenye mkiaMbusiiii wewe
Hii kitu niliikuta kwa mara ya kwanza Nairobi early 80s. Mwanamke anamuacha mumewe ndani anaenda disco. Anafurahia muziki pekee. Na kwa vile gharama za kukodi taxi zilikuwa juu, walikuwa wanasubiri matatu zianze kazi ndipo wanaondoka. Nilikuwa naona ajabu mwanamke asiye Kahaba kwenda Disco pekee yake.I am Single🎸🎻