Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Huwa Kama binadamu tunafanya makosa mengi tu.
Lakini kuna lakini kuna jambo jengine huwaga hukosei je ni lipi hilo?
Mimi binafsi niwe mkweli makosa nimefanya mengi. Lakini la kuondoka kwenye sherehe bila kula haijawahi tokea..
Pancho boy
Lakini kuna lakini kuna jambo jengine huwaga hukosei je ni lipi hilo?
Mimi binafsi niwe mkweli makosa nimefanya mengi. Lakini la kuondoka kwenye sherehe bila kula haijawahi tokea..
Pancho boy