Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Anaingia JKT, anamaliza kozi za mafunzo, anapata Ajira Jeshi la Polisi .
Anaendelea kufanya kozi Kadhaa wa Kadhaa, anapanda vyeo ,na kweli anakua hata OCD .
Kama sio Sasa, ndivo ilivyokua .
Kwa namna hii Kwa nini tusijitungie Sheria za kutulinda dhidi ya kushatakiwa pale tunapotimiza majukum yetu hata kama tumekosea?.
Yaani Kwa harakaharaka kwanini umkamate/umteke MTU Kwa silaha nzito nzito, alafu bado umfiche kiasi hata Ndugu zake wasijue walipo??.
Mtuhumiwa Si kutoa taarifa tu umemkamata, Kisha mfikishe Mahakamani?.
Anaendelea kufanya kozi Kadhaa wa Kadhaa, anapanda vyeo ,na kweli anakua hata OCD .
Kama sio Sasa, ndivo ilivyokua .
Kwa namna hii Kwa nini tusijitungie Sheria za kutulinda dhidi ya kushatakiwa pale tunapotimiza majukum yetu hata kama tumekosea?.
Yaani Kwa harakaharaka kwanini umkamate/umteke MTU Kwa silaha nzito nzito, alafu bado umfiche kiasi hata Ndugu zake wasijue walipo??.
Mtuhumiwa Si kutoa taarifa tu umemkamata, Kisha mfikishe Mahakamani?.