Umefika muda Yanga sc hawajui hata waanze kumlaumu nani

Umefika muda Yanga sc hawajui hata waanze kumlaumu nani

Ladder 49

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2017
Posts
7,918
Reaction score
20,037
Umefika muda Yanga sc hawajui hata waanze kumlaumu nani.

Kipigo cha leo cha Yanga dhidi ya Al Hilal kimekuwa na sitofahamu tatizo la Yanga ni nini kwa sasa maana kila mtu anasema lake

Kocha anasema wachezaji hawana fitness lakini mpira ulivyochezwa Yanga wamepata nafasi nyingi na ndio waliotawala mpira maana muda wote wako golini kwa Al Hilal.

Mashabiki wanasema timu ilikosea kufanya usajiri wa dube,chama na baleke.

Diarra kumbe wa kawaida tu analindwaga na baka tu.

Kocha hana mbinu zozote.

Wengine wameenda mbali wanamkumbuka Haji Manara mzee wa propaganda,alikuwa karibu na wachezaji wachezaji wanajituma.

Wengine Kibabage sio beki wanakula hela za bure na kwenda kuroga. Wengine wanasema Yanga haiwaheshimu wazee, ndio maana sasa hawafanikiwi

Wengine ngoma ikivuma sana upasuka. Wengine tulisema ya Gamondi tukaonekana wanoko,Gamondi hakutakiwa kuondoka timu imekurupuka.

Wengine badala ya kuleta wachezaji vijana wameleta wazee. Wengine usajiri wa dube tumepigwa.

Ongezea na wewe ulichokisikia na na useme tatizo la Yanga ni nini kwa sasa?

Kila mtu sasa hivi anasema lake
 
Umefika muda Yanga sc hawajui hata waanze kumlaumu nani.

Kipigo cha leo cha Yanga dhidi ya Al Hilal kimekuwa na sitofahamu tatizo la Yanga ni nini kwa sasa maana kila mtu anasema lake

Kocha anasema wachezaji hawana fitness lakini mpira ulivyochezwa Yanga wamepata nafasi nyingi na ndio waliotawala mpira maana muda wote wako golini kwa Al Hilal.

Mashabiki wanasema timu ilikosea kufanya usajiri wa dube,chama na baleke.

Diarra kumbe wa kawaida tu analindwaga na baka tu.

Kocha hana mbinu zozote.

Wengine wameenda mbali wanamkumbuka Haji Manara mzee wa propaganda,alikuwa karibu na wachezaji wachezaji wanajituma.

Wengine Kibabage sio beki wanakula hela za bure na kwenda kuroga. Wengine wanasema Yanga haiwaheshimu wazee, ndio maana sasa hawafanikiwi

Wengine ngoma ikivuma sana upasuka. Wengine tulisema ya Gamondi tukaonekana wanoko,Gamondi hakutakiwa kuondoka timu imekurupuka.

Wengine badala ya kuleta wachezaji vijana wameleta wazee. Wengine usajiri wa dube tumepigwa.

Ongezea na wewe ulichokisikia na na useme tatizo la Yanga ni nini kwa sasa?

Kila mtu sasa hivi anasema lake
Tatizo la nyuma mwiko walisajili kuikomoa Simba
Ni ujinga mtupu maana walisajili wazee na wamedhibitiwa kuchoma sindano
 
Kwani wachawi walikosa materials zamu hii? Just curious though
 
Umefika muda Yanga sc hawajui hata waanze kumlaumu nani.

Kipigo cha leo cha Yanga dhidi ya Al Hilal kimekuwa na sitofahamu tatizo la Yanga ni nini kwa sasa maana kila mtu anasema lake

Kocha anasema wachezaji hawana fitness lakini mpira ulivyochezwa Yanga wamepata nafasi nyingi na ndio waliotawala mpira maana muda wote wako golini kwa Al Hilal.

Mashabiki wanasema timu ilikosea kufanya usajiri wa dube,chama na baleke.

Diarra kumbe wa kawaida tu analindwaga na baka tu.

Kocha hana mbinu zozote.

Wengine wameenda mbali wanamkumbuka Haji Manara mzee wa propaganda,alikuwa karibu na wachezaji wachezaji wanajituma.

Wengine Kibabage sio beki wanakula hela za bure na kwenda kuroga. Wengine wanasema Yanga haiwaheshimu wazee, ndio maana sasa hawafanikiwi

Wengine ngoma ikivuma sana upasuka. Wengine tulisema ya Gamondi tukaonekana wanoko,Gamondi hakutakiwa kuondoka timu imekurupuka.

Wengine badala ya kuleta wachezaji vijana wameleta wazee. Wengine usajiri wa dube tumepigwa.

Ongezea na wewe ulichokisikia na na useme tatizo la Yanga ni nini kwa sasa?

Kila mtu sasa hivi anasema lake
Timu yyt ya mpira hua Inaanza na uongozi bora,cha Pili kocha wa viungo uwe na uwezo wa kufanya recovery haraka,nakuwafanya wawe timamu cku ya mchezo,Kwa yanga sasa utimamu wakimwili Kwa wachezaji wengi haupo sawa;
1:Azizi Ki anatumia kipaji lkn mazoezi or fitness ya ipo chini sana
2: Pacome nae pia ndio hivyo hivyo
3 Diara kuna either motivation or kiakili hayupo sawa
3:Bacca anahitaji kupumzika kwakua ametumika mno
4: Dube pressure yakufunga au anapewa majukumu mengi kuliko yale ya asili ya ufungaji.
In nutshell kikosi cha kwanza cha yanga kimechoka,haya yaliwakuta simba pia baada ya kua kwenye ubora Kwa muda mrefu sana
 
Yanga ni imara always, dawa ni kurudisha staili yake ya kucheza total football, kukaba wote na kushambulia wote, kupanda wote na kushuka wote, hakuna uchawi mwingine .

Pia kocha afanye mzunguko kila mchezaji acheze, wanaocheza sasa wamechoka kila mechi ni wao tu!! Wawe wanapumzishwa!! Vita ya namba hamna tena!!
 
1732722825890.jpeg

Matatizo yote yanaanza na huyu Al Shabab.
 
Hivi kweli kwa akili timamu unaweza kuwasajili Chama, Baleke na Dube? Tena kwa pesa zile?
 
Achana na utopolo wamevurugwa. Wenyewe ndo walipiga kelele Gamondi aondoke, ameishindwa timu. Leo wanaanza kumkumbuka.

Kesho wakishinda wataimba mapambio kwa huyu kocha mpya. Achana na mashabiki labda kama unajifurahisha tu.
 
Back
Top Bottom