Umefuata moja wapo ya haya?????

shoshte

Senior Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
129
Reaction score
20
Katika kuoa kuna kuoa kwa aina tatu
1 kijana anaona ana majukumu mengi ya kazi anaona anahitaji msaidizi km akute chakula kufuliwa nk
2 tamaa yaani wenzake wote wameoa anawafuata na pia tamaa ya kungonoka wanavosema waswahili
3 umri umefikia na anaweza kuitunza familia
sasa hapa umefuata ipi au utafuata ipi?????
asanteni
 
sasa wewe umekariri naona
au umezaliwa mbishi..
 
napita tu waungwana maana sioni la kuchangia hapo ................................. maana mmh! kuoa??????
 
Happo hakuna.........
Mo naoa ili kutekeleza amri ya mungu........kuoa ni ibada........
 
Kwani kuoa kuna tofauti na mapenzi ya upenzi? Nauliza hivi coz ktk mahusiano ya upenzi nilionao maswali yote ya mtoa mada hujibika. In general swala la ngono na kupata watoto hupewa kipaumbele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…