Umeibiwa simu yako

Umeibiwa simu yako

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
๐—จ๐—บ๐—ฒ๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ!!!

1_20241104_085442_0000.png



Je umepoteza au kuibiwa simu na unahitaji kulinda data (taarifa) zilizopo ndani ya simu yako. Kuna kitu kinaitwa remote lock unakijua ??

2_20241104_085442_0001.png


Najua wengi hawajui hii ni feature nzuri sana inayosaidia watu kuweza kufunga simu yake ikitokea simu iyo imeibiwa au kupotea kwenye mazingira ambayo sio salama.

Jinsi ya kufanya sasa ๐Ÿ˜Š
๐Ÿ‘‰ Fungua setting kwenye simu yako
3_20241104_085442_0002.png


๐Ÿ‘‰ Tafuta "Google" Kisha All service Kisha theft protection
4_20241104_085442_0003.png


๐Ÿ‘‰ Chagua remote lock weka on
Ili kukamilisha usajili utaweka namba yako ili iwe verified utabonyeza verify namba Kisha weka on Automatically verify phone numbers.

5_20241104_085442_0004.png


6_20241104_085442_0005.png


7_20241104_085442_0006.png


Ikitokea sasa simu yako imeibiwa au kupotea inabidi ufanye hivi ingia kwenye hii site android.com/lock weka namba yako ya simu Kuna repatcha image itatokea kupitia maswali jibu.

8_20241104_085442_0007.png


Ukimaliza sasa utaweza kuizuia simu yako kuibiwa kirahisi kwani ikitokea simu iko offline basi siku yoyote ikiwa online itajifunga navytaweza kuwa unlock kupitia skrini lock ya simu yako.

#bongotech255
 
๐—จ๐—บ๐—ฒ๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ!!!

View attachment 3143049


Je umepoteza au kuibiwa simu na unahitaji kulinda data (taarifa) zilizopo ndani ya simu yako. Kuna kitu kinaitwa remote lock unakijua ??

View attachment 3143050

Najua wengi hawajui hii ni feature nzuri sana inayosaidia watu kuweza kufunga simu yake ikitokea simu iyo imeibiwa au kupotea kwenye mazingira ambayo sio salama.

Jinsi ya kufanya sasa ๐Ÿ˜Š
๐Ÿ‘‰ Fungua setting kwenye simu yako
View attachment 3143051

๐Ÿ‘‰ Tafuta "Google" Kisha All service Kisha theft protection
View attachment 3143052

๐Ÿ‘‰ Chagua remote lock weka on
Ili kukamilisha usajili utaweka namba yako ili iwe verified utabonyeza verify namba Kisha weka on Automatically verify phone numbers.

View attachment 3143053

View attachment 3143054

View attachment 3143055

Ikitokea sasa simu yako imeibiwa au kupotea inabidi ufanye hivi ingia kwenye hii site android.com/lock weka namba yako ya simu Kuna repatcha image itatokea kupitia maswali jibu.

View attachment 3143056

Ukimaliza sasa utaweza kuizuia simu yako kuibiwa kirahisi kwani ikitokea simu iko offline basi siku yoyote ikiwa online itajifunga navytaweza kuwa unlock kupitia skrini lock ya simu yako.

#bongotech255
Je unatakiwq kuseti kabla au baada ya kuibiwa?
 
Back
Top Bottom