Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
๐จ๐บ๐ฒ๐ถ๐ฏ๐ถ๐๐ฎ ๐๐ถ๐บ๐ ๐๐ฎ๐ธ๐ผ!!!
Je umepoteza au kuibiwa simu na unahitaji kulinda data (taarifa) zilizopo ndani ya simu yako. Kuna kitu kinaitwa remote lock unakijua ??
Najua wengi hawajui hii ni feature nzuri sana inayosaidia watu kuweza kufunga simu yake ikitokea simu iyo imeibiwa au kupotea kwenye mazingira ambayo sio salama.
Jinsi ya kufanya sasa ๐
๐ Fungua setting kwenye simu yako
๐ Tafuta "Google" Kisha All service Kisha theft protection
๐ Chagua remote lock weka on
Ili kukamilisha usajili utaweka namba yako ili iwe verified utabonyeza verify namba Kisha weka on Automatically verify phone numbers.
Ikitokea sasa simu yako imeibiwa au kupotea inabidi ufanye hivi ingia kwenye hii site android.com/lock weka namba yako ya simu Kuna repatcha image itatokea kupitia maswali jibu.
Ukimaliza sasa utaweza kuizuia simu yako kuibiwa kirahisi kwani ikitokea simu iko offline basi siku yoyote ikiwa online itajifunga navytaweza kuwa unlock kupitia skrini lock ya simu yako.
#bongotech255
Je umepoteza au kuibiwa simu na unahitaji kulinda data (taarifa) zilizopo ndani ya simu yako. Kuna kitu kinaitwa remote lock unakijua ??
Najua wengi hawajui hii ni feature nzuri sana inayosaidia watu kuweza kufunga simu yake ikitokea simu iyo imeibiwa au kupotea kwenye mazingira ambayo sio salama.
Jinsi ya kufanya sasa ๐
๐ Fungua setting kwenye simu yako
๐ Tafuta "Google" Kisha All service Kisha theft protection
๐ Chagua remote lock weka on
Ili kukamilisha usajili utaweka namba yako ili iwe verified utabonyeza verify namba Kisha weka on Automatically verify phone numbers.
Ikitokea sasa simu yako imeibiwa au kupotea inabidi ufanye hivi ingia kwenye hii site android.com/lock weka namba yako ya simu Kuna repatcha image itatokea kupitia maswali jibu.
Ukimaliza sasa utaweza kuizuia simu yako kuibiwa kirahisi kwani ikitokea simu iko offline basi siku yoyote ikiwa online itajifunga navytaweza kuwa unlock kupitia skrini lock ya simu yako.
#bongotech255