Umeielewaje hii line ya Joh Makini ktk wimbo 'nusu nusu'?

data

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
26,858
Reaction score
23,768
'Nusu saa ya mshale...nusu suruale.... Niruhusu nisimame, nikuruhusu ulale'.

Sijui kama kweli uwa tuna pay attention ktk mistari ya hawa watu.

Tusaidiane hapo. Kama una line yeyote tata iweke hapa.
 
Hii nyimbo naipenda kweli kwa jinsi muimbaji alivyo flow .sijali sana maneno ila midundo yake na uimbaji wake yupo vizuri.labda hiyo nusu Bob Marley means ganja.nusu kwenye glasi means alcohol.
 
'Nusu saa ya mshale...nusu suruale.... Niruhusu nisimame, nikuruhusu ulale'.


Sijui kama kweli uwa tuna pay attention ktk mistari ya hawa watu.

Tusaidiane hapo.

Kama una line yeyote tata iweke hapa.
tueleweshe kwanza hiyo line inamaanisha nini harafu ndio na sisi tuweke zetu hapa,nahisi umewaza tu matusi hapo...
kuna nyingine ya joh makini hiyo:-
"kipenda roho huzua msala,unakutana na demu mkali ila anatembea na fala"
hiyo ndio my best worst punchline ever!
 
'Nusu saa ya mshale...nusu suruale.... Niruhusu nisimame, nikuruhusu ulale'.


Sijui kama kweli uwa tuna pay attention ktk mistari ya hawa watu.

Tusaidiane hapo.

Kama una line yeyote tata iweke hapa.
"Nusu saa ya mshale (nusu ya furaha) ,nusu suluale (nusu ya huzuni) , niruhusu nisimame ( nipe uhuru wangu) ,nikuruhusu ulale (nikuache upumzike). Yeaaaah keep ya head ring
 
'Nusu saa ya mshale...nusu suruale.... Niruhusu nisimame, nikuruhusu ulale'.


Sijui kama kweli uwa tuna pay attention ktk mistari ya hawa watu.

Tusaidiane hapo.

Kama una line yeyote tata iweke hapa.
'Nusu saa ya mshale...nusu suruale.... Niruhusu nisimame, nikuruhusu ulale'.


Sijui kama kweli uwa tuna pay attention ktk mistari ya hawa watu.

Tusaidiane hapo.

Kama una line yeyote tata iweke hapa.
mi sinaga tym yakujua line za mtu kama ameimba mafumbo ataelewa yeye ata we unawez kuandika mashair yako na watu wasielew
 
naskia kuna tuzo upo kwenye list.
naskia mnabebwa kwenye maplaylist
naskia mna undugu na hawa jounalist..

sijaelewa dongo la nani???

na daraja mbili ngarenaro, daraja hili hawadandii masoro
(dont bother)
 
Guuyycc ....
 
'Nusu saa ya mshale...nusu suruale.... Niruhusu nisimame, nikuruhusu ulale'.


Sijui kama kweli uwa tuna pay attention ktk mistari ya hawa watu.

Tusaidiane hapo.

Kama una line yeyote tata iweke hapa.
Nusu saa ya mshale ni ile kitu inayowapa sifa ya uanaume, nusu suruale yaani yuko read kudo chapchap kama unakimbizwa, yaani suruali magotini mzee anakula mzigo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Neno hili
... "Nusu"...!??
 
Hii nyimbo naipenda kweli kwa jinsi muimbaji alivyo flow .sijali sana maneno ila midundo yake na uimbaji wake yupo vizuri.labda hiyo nusu Bob Marley means ganja.nusu kwenye glasi means alcohol.
Umejiongeza kivyakooo





.
 
Vitamin A huzidisha uwezo wa Kuona,
ila Vitamin Music huwaonyesha mpaka vipofu, (JOH)

Good Music
 
Nusu saa ya mshale ni ile kitu inayowapa sifa ya uanaume, nusu suruale yaani yuko read kudo chapchap kama unakimbizwa, yaani suruali magotini mzee anakula mzigo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Joh. .... Njoo mwenyewe. Ulipo sema "nirysu nisumame. Nikurusu ulale"
 
Nusu saa ya mshale ni ile kitu inayowapa sifa ya uanaume, nusu suruale yaani yuko read kudo chapchap kama unakimbizwa, yaani suruali magotini mzee anakula mzigo[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Chapchap unakula saa 6[emoji115]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…