Umejiandaaje kuupokea mwaka mpya 2025? Bado itakuwa mwaka wa kufosi au tunabadili gia?

Umejiandaaje kuupokea mwaka mpya 2025? Bado itakuwa mwaka wa kufosi au tunabadili gia?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Tunaelekea mwaka mpya 2025 siku chache zijazo, umejipangaje? Mwaka 2024 ulikuwa wa kufosi, tukafosi na kufosi, baadhi vikanyooka, vingine tukafosi kweli mpaka tukatoboa, vikingine vikashupaza shingo😂😂umeweza. Je, umeweza kutimiza malengo yako kwa asilimia ngapi?

Katika hayo yote naamini kuna vitu umejifunza, kuna mambo umeona hayakufai inabidi uyaache 2024, kuna mazuri ya kubeba na kusonga nayo mbele, kuna vya kuboresha ili uwe bora zaidi na kuna vya kuanzisha upya kabisa for new and fun experiences.

Sasa umejiandaaje kusonga mbele wakati tunaingia 2025? Tunaenda na moto gani mwaka 2025?
 
Ngoja Nile starehe za mwisho wa mwaka. Mwaka mpya ukianza tu ni full kupambna hata soda sinywi
 
Nimepanga 2025 yawe hivi maisha yangu

1. Kutenga saa 1 kila siku kusoma Quran(saa 10:00 hadi saa 11 alfajiri )
2. Kutenga saa 1 usiku kumuomba Allah
3. Kitumia mchana ktk majukumu yangu ya kazi
4. Kutumia masaa 2 kwa siku kupata ilimu zaidi ya sayansi na Teknolojia na ya dini
Muda mchache kiasi cha dakika 15 -20 kwa siku kushiriki jf, kwa sababu matusi siku hizi yamekuwa mengi jf hasa kwa wasiokuwa waislam dhidj ya uislam na waislam badala ya kujenga hoja na kutoa hoja
Shukran
 
Nimepanga 2025 yawe hivi maisha yangu

1. Kutenga saa 1 kila siku kusoma Quran(saa 10:00 hadi saa 11 alfajiri )
2. Kutenga saa 1 usiku kumuomba Allah
3. Kitumia mchana ktk majukumu yangu ya kazi
4. Kutumia masaa 2 kwa siku kupata ilimu zaidi ya sayansi na Teknolojia na ya dini
Muda mchache kiasi cha dakika 15 -20 kwa siku kushiriki jf
Shukran
Allah akuongoze katika ratiba hiyo. Ukipata elimu uje utugawie na sie hapa JF
 
Allah ameshindwa kuisaidia Gaza dhidi ya mkono wa Israel anayewatoa roho ndo aje kukusaidia wewe. Kuliko kufanya 1 na 2 huo muda tumia kufanya mazoezi ya mwili kuimarisha afya.
Allah hata wewe amekusaidia umeweza kuamka ukiwa na afya na ukaja kuandika utumbo huu jf badala ya kutumia muda wako kupumzika
 
Allah hata wewe amekusaidia umeweza kuamka ukiwa na afya na ukaja kuandika utumbo huu jf badala ya kutumia muda wako kupumzika
Anayenisaidia Mimi ni Mungu mwenye nguvu, Mungu wa miungu aliyekuwepo hata kabla ya Allah.
 
Nimepanga 2025 yawe hivi maisha yangu

1. Kutenga saa 1 kila siku kusoma Quran(saa 10:00 hadi saa 11 alfajiri )
2. Kutenga saa 1 usiku kumuomba Allah
3. Kitumia mchana ktk majukumu yangu ya kazi
4. Kutumia masaa 2 kwa siku kupata ilimu zaidi ya sayansi na Teknolojia na ya dini
Muda mchache kiasi cha dakika 15 -20 kwa siku kushiriki jf, kwa sababu matusi siku hizi yamekuwa mengi jf hasa kwa wasiokuwa waislam dhidj ya uislam na waislam badala ya kujenga hoja na kutoa hoja
Shukran

Kila la kheri. Tenga na muda wa kutenda haki na kuilinda kila siku
 
Back
Top Bottom