Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye jinsia ukawajibuje?Mimi:
Niliulizwa JINA, JINSIA na UMRI tu.
Sikuombwa details nyingine zozote zaidi ya hizo.
Hivi, tuko serious kweli?
we ulitakajeMimi:
Niliulizwa JINA, JINSIA na UMRI tu.
Sikuombwa details nyingine zozote zaidi ya hizo.
Hivi, tuko serious kweli?
Angeshusha mkwega awaoneshe vividly!Kwenye jinsia ukawajibuje?
Hilo ndio lilikuwa swali gumu zaidi
Mtu anaona kipara na ndevu bado anakuuliza jinsiaAngeshusha mkwega awaoneshe vividly!
Kama ni kweli,huyo mwandikishaji alijisahau tu.Katika maelekezo kabla ya zoezi huwa wanaelekezwa maswali ya msingi kuulizwa na mengine yatajazwa kulingana na kuona au mazingira.😅😅😅😅😅 ila waandikishaji wanadhambi ,Kwa hyo kwakukuangalia tu hakitosha kujua ww n me au ke.
Au mwandikishaji kalewaaa mkuu
Mimi niliandikwa nikiwa nyumbani, Sikuweka saini.Hukusaini? 🐼😂
Ulikuwa unataka uulizws maswali gani ili uone kuwa wako serious? Mkuu ile sio sensa ni uandikishaji wa serikali za mitaa kinachomata ni uwe mkazi wa eneo husika na uwe na umri wa miaka 18+ plus akili timamu. Na wewe ni miongoni mwa walio wengi ambao nadhan ndio mara yao ya kwanza kujiandikisha. Nakukumbusha ile haitaji hata uwe na kadi ha mpiga kura mzee. Au ulitaka uulizwe umeoa? Una watot wangapi?Mimi:
Niliulizwa JINA, JINSIA na UMRI tu.
Sikuombwa details nyingine zozote zaidi ya hizo.
Hivi, tuko serious kweli?
Namba ya simu ya nini? 😂Mimi niliandikwa nikiwa nyumbani, Sikuweka saini.
Niliulizwa jina na namba ya simu tu.