π€£π€£π€£ Mamilioni eh! Labda alete nyuki uvimbe vizuriNimejipanga kushona vitenge vipya na nasubiri uncle wako aniletee mamilioni ya LBL nivimbe mtaani!
View attachment 3252619
Aisee mwaka uko kasi sana. Yani tunaelekea robo mwaka sijafikisha hata robo ya fedha niliyopanga kukusanya mwaka huu.Mwezi wa Pili unaisha leo, wale mliozaliwa tarehe 29-02 endeleeni kusuburi mpaka 2028!
Wazee wa mwaka wa kuforce mipango ya kuitwa Boss imekaaje kwa mwezi wa 3?
Wale ambao LBL imewasaula msijisahaulishe mmejipangaje na nyie?
WanaSimba na wanaYanga derby ndio hio inakuja mmejipangaje?
Mambo ya kodi/umeme/ada/biashara na kazi umejipangaje kuyakamilisha mwezi wa 3?
Mshangazi una miteeegooooNimejipanga kushona vitenge vipya na nasubiri uncle wako aniletee mamilioni ya LBL nivimbe mtaani!
View attachment 3252619
Mbona Mimi Bado natoka pesa lblHuu ni muda sahihi wa kujipanga upya naamini utafanikiwa mkuu.
Hii inaitwa elobielo[emoji23] wee hii hii LBL tunayoijua ama kuna nyingine.
Kwa akili hizi halafu ukute mtu na lipussy lake huko lililojaa u.t.I aje akupangie pesa za kumpaAisee mwaka uko kasi sana. Yani tunaelekea robo mwaka sijafikisha hata robo ya fedha niliyopanga kukusanya mwaka huu.
Wajinga sana sijui wanaonaga pesa zetu huwa zinaokotwa tu kirahisi, ukitaka kujua hawa viumbe KE wanatupiga nenda viwanja siku kama ya leo uone wanaume wanavyokamuliwa bila huruma huku wao wakijipiga vifua wanajiona wamba kumbe wanatumikatena anasema tuma na ya kutolea [emoji1787]
ubaya zaidi hawana cha kutupa sisi zaidi ya mbususu, presha na stress wengine wanaamua kutupa na S.T.Is na U.T.I dohWajinga sana sijui wanaonaga pesa zetu huwa zinaokotwa tu kirahisi, ukitaka kujua hawa viumbe KE wanatupiga nenda viwanja siku kama ya leo uone wanaume wanavyokamuliwa bila huruma huku wao wakijipiga vifua wanajiona wamba kumbe wanatumika