Umekariri number ngapi za simu kichwani mwako?

Acha uvivu mkuu, jitahidi ukariri japo number 50
Kha zote hizo😅 hapana aisee. Ya baby tu sijakariri, kama nimeshindwa kukariri no yangu sidhan kama nitaweza kukariri no zingine tena.

Kichwa kina mambo mengiii eti
 
KipindI nasoma Shule ya upili ilikua unaiandika naisoma then nafuta Ndo ishakaa hivyo,siku hizi Hali tete
 
Me kwakwel skarrg vtu vsvyo na umuhimu, nmekarr namba yangu na ya shooo wangu na baba tu.

Sna mpango wa kukarr namba ingne tena kwny hii kichwa.....
 
Mi nahisi nina tatizo na hili Jambo,siwezi kuangalia namba Mara mbili nisiikariri.nina karibu 75% ya phonebook yangu kichwani.mara nyingi huwa naona shida kutafuta namba so huwa naiandika nikitaka kupiga Kisha jina linatokea.
Nimesema hili ni tatizo kwani kuna viumbe wengine sipaswi kuwasiliana nao,najitahidi kujizuia kwa sababu namba zipo kichwani ingawa nilishazifuta kwa simu.ningekuwa sijazikariri nisingepata tabu sasa.
 
Namba 5 ??????[emoji849][emoji849]
Kichwani kwangu nna namba ya Bi mkubwa tu na zangu 2 ..
Namba za watu wengine watakariri wapenzi wao
 
Dah.....mie Ni 3 tu......ya mama....ya Majaliwa......na Sirro 🤭
 
Mimi nina kumbukumbu sana aisee

Namba zangu 2, za bi mkubwa 2, ya mzee, ya sister, aunt, uncle, cousin, za dem wangu 2, hapo bado kuna namba za ving'amuzi 2, luku

Password ndo usiseme nimezikariri zote
 
Kichwa panzi kama mie wala huwa sijisumbui kukariri 😄
 
1, wazazi
2, kaka na dada zangu wote.
3, rafik zangu 2.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…