Mzee such a blackout si mara ya kwanza kutokea duniani at least in the so called developed world, maana in 2003 Marekani, Canada na Italy faced the same and was even more worse. Kwa wenzetu mostly huwa inakuwa ni natural disasters kama chanzo, wakati hapa kwetu uzembe, sabotages, wizi, ufisadi ndio huwa vinatupelekea kwenye continuous blackouts!!!!!!!
"The Northeast Blackout of 2003 was a massive power outage that occurred throughout parts of the Northeastern and Midwestern United States, and Ontario, Canada on Thursday, August 14, 2003. Although not affecting as many people as the later 2003 Italy blackout, it was the largest blackout in North American history. It affected an estimated 10 million people in the province of Ontario (about one-third of the population of Canada) and 40 million people in eight U.S. states (about one-seventh of the population of the U.S.). Outage-related financial losses were estimated at $6 billion USD ($6 billion CDN)."
Kwa hiyo ndugu mzalendohalisi unataka kusema hiyo blackout ni failure ya Mbeki? Na ndio maana hakuchaguliwa tena???