toriyama
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,139
- 2,223
Suala la Umeme CHATO, imekuwa ni kama anasa vipi huko Msoga na Kizimkazi hali ni hii pia?
Kwakeli sijui Wanachato wameikosea nini Serikali hii. Adha ya umeme niliyoikuta huku ni kubwa mno, muda wowote umeme unakatwa bila kujua ni muda gani utarudi imekuwa ni kama mchezo unaweza dhani labda Vijana wa Field wamepewa Idara.
Mambo ambayo hayakuzoeleka kabisa wakati wa Magufuli sasa yanafanyika. Hata Barabara zilizowekewa Lami zinarekebishwa ila hawana mpango wa kuziwekea Lami tena sini bora waache.
Haya ni maneno ya mzee mmoja maarafu hapa kwenye kijiwe cha kahawa akilalamika. Nawatakieni Jioni Njema wakazi wa kizimkazi na Msoga
Safarini kuelekea burundi
Kwakeli sijui Wanachato wameikosea nini Serikali hii. Adha ya umeme niliyoikuta huku ni kubwa mno, muda wowote umeme unakatwa bila kujua ni muda gani utarudi imekuwa ni kama mchezo unaweza dhani labda Vijana wa Field wamepewa Idara.
Mambo ambayo hayakuzoeleka kabisa wakati wa Magufuli sasa yanafanyika. Hata Barabara zilizowekewa Lami zinarekebishwa ila hawana mpango wa kuziwekea Lami tena sini bora waache.
Haya ni maneno ya mzee mmoja maarafu hapa kwenye kijiwe cha kahawa akilalamika. Nawatakieni Jioni Njema wakazi wa kizimkazi na Msoga
Safarini kuelekea burundi