Kajuni
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 483
- 186
Naandika nikiwa na furaha!!!! kivipi? kwani hakika anguko kubwa la chama cha Magamba limekaribia sitaki kuwa shehe Yahaya (the late RIP) lakini ni mambo yanayo onekana kwa uwazi kabisa (Black and white). Na hakika hayaitaji mtabiri kuyaona. Vijana wana hari kubwa sana kuleta mabadiliko.
Kilichonipa furaha ni kelele pindi umeme unapo katika hapa mtaani kwangu...mayowe na nderemo usikika vijana wakisema. TUMPIGE CHINI RAISI kwani kazi imemshinda na haya sio maisha bora kwa mtanzania. Kijiwe kimejaa vinyozi, wauza samaki, wauza nyama etc ambao vipato vyao viko hatarini kwa hili tatizo la mgao. Takwimu zina sema ni asilimia 14% tu ndo chama cha magamba kinawafikia kwa huu umeme wa mgao.... what a shame!!!! 50 YRS baada ya uhuru.
Jamani wakati umefika kukaza uzi... tena nafikiri hizi ishu za bajeti zinaweza kuwa ngumu kueleweka. Lakini hili la umeme watu wanalielewa fika. Visingizio vimekwisha kwani mvua zimenyesha na mitambo yote imewashwa lakini mgao upo pale pale tena ndo umeongezeka maradufu. Wala tusiumize kichwa na matendo ya binti Kiroboto mjengoni na mengine mengi kama hayo.
Haya shime wakati ndo huu tuchukue hatua... napenda kuwakilisha.
Kilichonipa furaha ni kelele pindi umeme unapo katika hapa mtaani kwangu...mayowe na nderemo usikika vijana wakisema. TUMPIGE CHINI RAISI kwani kazi imemshinda na haya sio maisha bora kwa mtanzania. Kijiwe kimejaa vinyozi, wauza samaki, wauza nyama etc ambao vipato vyao viko hatarini kwa hili tatizo la mgao. Takwimu zina sema ni asilimia 14% tu ndo chama cha magamba kinawafikia kwa huu umeme wa mgao.... what a shame!!!! 50 YRS baada ya uhuru.
Jamani wakati umefika kukaza uzi... tena nafikiri hizi ishu za bajeti zinaweza kuwa ngumu kueleweka. Lakini hili la umeme watu wanalielewa fika. Visingizio vimekwisha kwani mvua zimenyesha na mitambo yote imewashwa lakini mgao upo pale pale tena ndo umeongezeka maradufu. Wala tusiumize kichwa na matendo ya binti Kiroboto mjengoni na mengine mengi kama hayo.
Haya shime wakati ndo huu tuchukue hatua... napenda kuwakilisha.