Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Mzee hizo nuclear battery nazijua zinatumika miaka nenda uje. Radioactive material zinakuwa zina decay. But huwa zinatoa power ndogo mno.Kwa lugha ya kisanyansi wanaziita radioisotope generator or radioisotope battery Mzee
We jamaa ndio maana nasema unaishi kwenye fantasy world.Halafu hizo zimeshatumika pia kwenye spacecraft's za kwenda mwezini na exploration nyingine za angani kumove vitu vizito na mitambo huko angani tofauti yake na reactor ni kwamba hizi batteries ni non rechargeable Ila energy density yake ni kubwa vibaya mno imagine Yale na vyombo ya kwenda mars yanatumia miaka kwenda Kule na source of power yanayotumiwa ni hizo nuclear batteries or radioisotopes generators Ila yenyewe hayatumii chain reactions kama ilivyo Kwa zile normal nuclear reactors mkuu
Mzee launching of satellite!? Mzee satellite huwa inabebwa na na Rocket toka dunia mpaka kwenye orbit.Mkuu energy density ndogo kumove vitu vizito kama kulaunch satellites , space shuttles na mitambo mizito (heavy duties) za exploration ya mwezini ? Tani za kutosha , hebu Acha masikhara
I don't have anything to say about paper. Hata mimi hapa ninaandika paper kuhusu dark matter energy.
Kuna reseach ziko mbioni kumalizika hebu pitia hiyo paper hapo usome kuna modifications zimefanyika kibao kuna hiyo hybrid ambayo watatumia molten Fluoride na chloride salts zilizochangaywa na radioactive powder kama uranium / plutonium ili kugenerate insane energy density pia zitakuwa ni light Sana ( little weight ) na zitakuwa na uwezo wa kutembeza meli pia
Na inasemekana project hii ikisha na production ikaanza ya hizo batteries wanasema running cost yake utakuwa ndogo Sana kuliko ya diesel engines / any other fossil fuels hence utakuwa viable economically kutumiwa kuendesha heavy duty marine vessels kama shipsMzee launching of satellite!? Mzee satellite huwa inabebwa na na Rocket toka dunia mpaka kwenye orbit.
Mzee Nitajie rocket hiyo iliyotumia nuclear battery during launching.
Naelewa Ila challenges zipo kwenye lolote Ila reseach zinafanyika watu wanaumiza vichwa kila siku na soon wanatoka na breakthrough hata kama umesoma hiyo article hapo utakuwa umeelewa na tumeelewana .I don't have anything to say about paper. Hata mimi hapa ninaandika paper kuhusu dark matter energy.
Hivi unajua kwanini mpaka sasa Elon Musk anahangaika namna ya kweda mars!?
Mzee unapoongelea battery unajua maana yake!?Na inasemekana project hii ikisha na production ikaanza ya hizo batteries wanasema running cost yake utakuwa ndogo Sana kuliko ya diesel engines / any other fossil fuels hence utakuwa viable economically kutumiwa kuendesha heavy duty marine vessels kama ships
Wanaume wako mzigoni huko wanaumiza vichwa na kutoboka mifuko kugharimikia hii kitu trust me the breakthrough in civil and cargo marines decarbonisation is on the horizonI don't have anything to say about paper. Hata mimi hapa ninaandika paper kuhusu dark matter energy.
Hivi unajua kwanini mpaka sasa Elon Musk anahangaika namna ya kweda mars!?
Basi poa. Nimependa kwa sababu unaongea na umejitahidi kujadili kwa evidencesNaelewa Ila challenges zipo kwenye lolote Ila reseach zinafanyika watu wanaumiza vichwa kila siku na soon wanatoka na breakthrough hata kama umesoma hiyo article hapo utakuwa umeelewa na tumeelewana .
Hata mimi nipo mzigoni Mzee ninaandika paper kuhusu energy.Wanaume wako mzigoni huko wanaumiza vichwa na kutoboka mifuko kugharimikia hii kitu trust me the breakthrough in civil and cargo marines decarbonisation is on the horizon
Risk zingine zinajulikana Mzee!? Kwanini ujiingize kwenye tatizo unalolijua risk zake!?Risk zipo kwenye lolote ndio maana ni kamwambia kwamba penye nia Pana njia wanaume WA KAZI wapo mzigoni , hamba ambaye aliwaza kwamba kuna siku meli / treni zitatumia mafuta kutembea , steam engines za makaa ya mawe na kuni ndio zilitumika Leo hii mafuta , you cannot fight changes its the matter of time Tu
Trust me kuna kitu hawa mabeberu wametuzidi , wakiamua kitu hawashindwi we subiri mark this comment , kuna siku tutarudi hapa kutoa ushuhuda .Hata mimi nipo mzigoni Mzee ninaandika paper kuhusu energy.
Trust me kuna kitu hawa mabeberu wametuzidi , wakiamua kitu hawashindwi we subiri mark this comment , kuna siku tutarudi hapa kutoa ushuhuda .Risk zingine zinajulikana Mzee!? Kwanini ujiingize kwenye tatizo unalolijua risk zake!?
We are not talking about if problem will happen, but we are talking about When.
Duh!! Hatari sasa. Inamaana huniamini mimi kuwa ninaumiza kichwa kuja na permanent solution kuhusu Energy.Trust me kuna kitu hawa mabeberu wametuzidi , wakiamua kitu hawashindwi we subiri mark this comment , kuna siku tutarudi hapa kutoa ushuhuda .
These people have guts and perseverance even if it means working on something for 1000 years . Ukiangalia zile projects za miaka ya 50 zilizoshindwa lakini kumbe njemba bado zipo maabara zinashughulika .
Economy of scale na environmental risks ndio challenges kubwa zilizokuwa zinahinder hii kitu Ila Kwa sasa mwanga upo na possibilities za marine decarbonisation ni kubwaRisk zingine zinajulikana Mzee!? Kwanini ujiingize kwenye tatizo unalolijua risk zake!?
We are not talking about if problem will happen, but we are talking about When.
Mzee mimi ninakuja na permanent.Economy of scale na environmental risks ndio challenges kubwa zilizokuwa zinahinder hii kitu Ila Kwa sasa mwanga upo na possibilities za marine decarbonisation ni kubwa
Duh!! Mzee kumbe hujui Dark Energy!?Hahaaa [emoji1][emoji1][emoji1] ya kuruka na ungo
Sasa unapoongelea masuala ya ungo unamaana gani!?Najua
Sasa huniamini!? Au hutaki!?Wewe utainvent dark energy ya ungo WA kuruka kama Wale wchawi WA sumbawanga -Tanzania
Basi tulia. Mimi nakuzidi mbali mno.Good , we need invention in this sector