Umeme na Nishati - Kenya

Hivi mbona Africa bado hatuna explore Tidal energy , tuna Maziwa na bahari ambazo ni resources kubwa katika uzalishaji WA nishati ya umeme Kwa kutumia mawimbi ya maji
Sasa kwa nini tuende kwenye tides ilhali tuna solar na wind ambazo ziko kwa wingi na ni cheaper than tidal? Hakuna haja ya kuruka ruka na kukimbilia exotic technologies ilhali tumeshindwa kutap into wind and solar ambazo ziko freely available and cheaper. Kama Solar imeshinda nchi nyingi za Afrika kuinstall nini inakudanganya kwamba tutafanikiwa kwenye tidal?
 
Umeme wa maji pia ni green. Halafu mnahitaji diversify energy sources zenu. Marekani sasa hivi wanapitia drought na mabwawa yao yamekauka
 
New sources of energy zinavumbuliwa kila wakati. Wacha ushamba nawe.
Mzee unajua Law of conservation of Energy!?
Energy can be transformed from one state to another, but not be created or destroyed.

Ngoja nikupatie somo kidogo la energy.
Kinetic energy, Chemical energy, heat energy etc can be transformed to electric energy. Sasa issue zinazotokea ni:-
1. Je, mpaka unazalisha umeme investment yake ni kiasi gani!?

2. Kunakuwa energy nyingine inakuwa transformed kwenda kwenye aina nyingine ya energy so product ya Electric energy inakuwa ndogo.

3. Source za energy zingine bado zipo kwenye majaribio. Ni watu wa academics wanafanyia majario kuonesha namna umeme unavyopatika, but not for serious project.

NB: Hata wewe hapo home unaweza ukazalisha umeme kwa kutumia any mode of energy. But utatumia nguvu kubwa kuzalisha umeme mdogo.


Keysentense: Nguvu kubwa, Umeme kidogo.
 
Wapi nimesema energy inakuwa created? Nimesema new Sources of energy zinavumbuliwa kila wakati. Usinione mjinga. Nilisoma physics miaka minne high school na hakuna somo lolote ambalo nilipata C. Solar is a source of energy just like wind or geothermal. Jifunze maana ya neno sources of energy kwanza ndio uje hapa. Kama hujui sema ufundishwe. Nani hajui kwamba energy haiwezi kuwa created or destroyed? Hata mtoto mdogo anajua hilo




What is energy?Sources of energy​


Most of our energy is nonrenewable​

In the United States and many other countries, most energy sources for doing work are nonrenewable energy sources:

These energy sources are called nonrenewable because their supplies are limited to the amounts that we can mine or extract from the earth. Coal, natural gas, and petroleum formed over thousands of years from the buried remains of ancient sea plants and animals that lived millions of years ago. That is why we also call those energy sources fossil fuels
 
Unaposoma comments za mtu mwenye uelewa mpana kama mimi jifunze kusoma btn lines. Usikurupuke kujibu comments za Great Thinker.

1. Nilikuwa nakuweka sawa, ujuwe lugha za science. Energy does not have source. The word source of energy wanatumia kuwarahisishia ninyi laymen muweze kuelewa kwa lugha nyepesi.

2. Nime kueleza kisayansi kabisa kuwa you can only transform energy from one state to another. Eg: mechanical energy to Electric energy, Chemical energy to Electric energy, Heat energy to Electric energy.

3. Nimekueleza kwamba transformation zingine zinahitaji big investment, output yake ni ndogo.

4. Ninakuongezea, kutumia tide kupata umeme, investment yake ni kubwa, kwamba:-
A. Kusafirisha umeme toka kwenye source mpaka sehemu husika.
B. Tides are periodic, umeme unakuwa up and down.
C. You need storage of electric during downs uweze ku stabilize efficiency.


NB: Tunapoongelea science, usiweke politics.

However: Issue za kutuambia marks shuleni ni utoto. Grow up bro.
 
Mzee hebu ondoa basi, ndoto za mchana. Hivi kati fossil fuel, Hydrogen fuel na Nuclear ipi yenya madhara makubwa kwenye climatic change!?

Jibu kisayansi siyo kuota ndoto ukiwa unatembea.
 
Huwezi pingana na changes , better uondoe fossil fuel kwenye akili yako , miaka michache ijayo fossil fuel matumizi yake yatapungua sana labda kama hujui ulimwengu unapoelekea
Mzee matumizi ya fossil yatapungua, but siyo kwa kutumia Nuclear.

Mzee nimekupatia ulete Madhara ya kutumia Nuclear vs Fossil.
Nikakupatia alternative ya Liquid Hydrogen. Bado una piga kelele tu. Njoo na scientific explanation Mzee.
 
Fossil fuel ni big contributor WA environmental pollution kuliko hizo nucler do your reseach
Hivi tunapoongelea nuclear unajua tunaongelea nini!?
Hivi unazijua Gamma Rays kijana!?
Madhara yake ni makubwa mno:-
1. Cancer
2. Genetic Mutation
3. Global warming

Mzee ukilinganisha fossil na Nuclear bora tuendelee na fossil.

Fossil ni pamoja na Coal, Natural gas, Petroleum etc.

Mzee hebu soma acha kuleta mbwembwe za kitoto.
 
Mzee usitake kuorodhesha vitu. Nataka uniletee wapi wamesema matumizi ya Nuclear kwenye Marine Transportation!?
 
Eti global warming we unajua maana ya[emoji2956] global warming Mzee ? , Acha ubishi usio na maana , hebu eleza jinsi nuclear energy inaleta global warming ?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ngoja nikupatie somo sasa la Nuclear Physics.
Radioactive Atoms huwa zinatabia ya ku split and form new elements. So hii inaitwa nuclear fission.

But nuclear reaction zipo za aina mbili:-
Nuclear Fission and Nuclear Fusion.
Kwa sasa nuclear Fission ndio inatumika sana.
Sasa nuclear Fission inapotokea kunakuwa na release of energy and rays.
When we talk about global warming inasababishwa na vitu vingi moja wapo ni kuharibika kwa ozone layer. Sitaki niiongelee kwa undani ozone layer.

The energy release from radioactive nuclear reaction can trigger environmental chemical reaction.
Ozone layer contains triple oxygen.

NB: Usitake kuhamisha mada. Nataka ulete matumizi ya nuclear kwenye Marine Transportation.
 
Acha kukaza ubongo wewe , alternative zipo nyingi instead of fossil fuels kuna magari , pikipiki na items zinazotumia umeme na si fossil fuels
Hapa unaanza kuongelea pikipiki!? Mzee umechanganyikiwa nini!? Pikipiki unataka kulinganisha na Ship!?

Hivi unajua science kweli wewe!?
Hapa tunaongelea Horse Power Mzee.
Uwezo wa kuvuta kitu. Fossil fuels zinatoa horsepower kubwa Mzee.

1. Kama unataka kulinganisha fossil na Electricity unatakiwa ujue science.
Ndani ya bahari hakuna nguzo za umeme kwaajili ya kupitisha electric power so utahitaji utumie rechargeable battery.

Utahitaji battery kubwa mno kuweza kuendesha ship ambayo itaongeza mzigo wa meli. When you compare to fossil weight battery itakuwa nzito zaidi.

Battery will maintain the constant weight when used but fossil itaenda inapungua uzito.

So unatakiwa ujifunze physics kwanza Mzee.
 
Wewe unaongelea nuclear physics ya elementary school Mimi ni Electrical engineer , Wewe unajua jinsi nuclear fission inatokea kwenye mazingira gani ?, Unaongea na mtaalamu hapa si layman
Ona sasa unakoelekea Mzee. Ninachotaka unieleze Nuclear itatumikaje kuendesha ship!?
Mbona unaruka ruka Mzee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…