Umeme ni kitu muhimu katika taifa lolote

Umeme ni kitu muhimu katika taifa lolote

kahembe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
227
Reaction score
310
Umeme ni ajira umeme ni uchumi umeme ni maisha. Kwa sasa mitaji inakatika, tunaomba viongizi wa serikali wapate uchungu na sisi tunaoupata kutokana Ili tatizo la kukatika Kwa umeme.
 
Back
Top Bottom