Umeme umekuwa janga mkoani Kilimanjaro

Umeme umekuwa janga mkoani Kilimanjaro

Hali ya upatikanji wa umeme mkoa wa Kilimanjaro imekuwa changamoto kubwa sana, kwa siku umeme unaweza kukatika zaidi ya mara tatu, siku nyingne umeme unakatika zaidi ya masaa 16. Mkoani kwako hali ipoje?
Ni nchi nzima kama sikosei.

Nchi ya kiswain hii. Halafu watu hata hawajali ndo utafahamu ni Taifa la watu wa aina gani.

Ugali umekuwa laana kwenye hii nchi. Wakishakula hawajali kingine chochote.
 
Hali ya upatikanji wa umeme mkoa wa Kilimanjaro imekuwa changamoto kubwa sana, kwa siku umeme unaweza kukatika zaidi ya mara tatu, siku nyingne umeme unakatika zaidi ya masaa 16. Mkoani kwako hali ipoje?
Ni kweli mkuu...
 
Ni nchi nzima kama sikosei.

Nchi ya kiswain hii. Halafu watu hata hawajali ndo utafahamu ni Taifa la watu wa aina gani.

Ugali umekuwa laana kwenye hii nchi. Wakishakula hawajali kingine chochote.
Sijui tumelikosea nini hili shirika
 
Nlikua Arusha kwa siku tatu zilizopita hali ni hiyo hiyo
 
Hapa nilipo tupo gizani, jotoridi lipo juu sana, ukirudi unakuwa mdogo below 180 volts so mita hairuhusu upite...
Watawala are less concerned, wanajua we can't do shit about them.
 
Kila nikifika hapo himo natamani nikachome jengo la tanesco moto mm
 
Back
Top Bottom