Buzi Nene
Senior Member
- Feb 10, 2020
- 148
- 340
Huku wilaya ya Rufiji umeme unakatika sana sana,kwa siku umeme unakatika zaidi ya mara 30 ,sio uongo ni kweli kabisa,wanaoishi huku ni mashahidi
Mimi ninaisha Nyamwage hapa lakini hii imekuwa kero sana, hii shida imeanza muda mrefu ila kwa kipindi cha mwezi wa tatu na huu wa nne imezidi maradufu.
Staili ya kukatika kwa umeme ni unakatika baada ya kama dakika 10 au 20 unarudi
Staili nyingine ni kama unakatika kama radi tena unakatika sekunde mbili unarudi hii ndio mara nyingi zaidi.
Najua huu sio mgao wa umeme, inawezekana kuna changamoto kwenye njia za usafirishaji wa umeme.
Tunaomba TANESCO watusaidie katika hili sisi wananchi tunateseka sana
Buzi Nene.
Mimi ninaisha Nyamwage hapa lakini hii imekuwa kero sana, hii shida imeanza muda mrefu ila kwa kipindi cha mwezi wa tatu na huu wa nne imezidi maradufu.
Staili ya kukatika kwa umeme ni unakatika baada ya kama dakika 10 au 20 unarudi
Staili nyingine ni kama unakatika kama radi tena unakatika sekunde mbili unarudi hii ndio mara nyingi zaidi.
Najua huu sio mgao wa umeme, inawezekana kuna changamoto kwenye njia za usafirishaji wa umeme.
Tunaomba TANESCO watusaidie katika hili sisi wananchi tunateseka sana
Buzi Nene.