KERO Umeme umekuwa tatizo sana siku hizi hasa Kimara na Mbezi, TANESCO hamsemi tatizo ni nini?

KERO Umeme umekuwa tatizo sana siku hizi hasa Kimara na Mbezi, TANESCO hamsemi tatizo ni nini?

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Umeme umekuwa na tatizo kubwa sana Maeneo ya Mbezi na Kimara umekuwa unakatika na kurudi mara kwa mara, na kuna muda unarudi unawasha taa tu, hauwashi hata Fridge wala AC kwa kuwa unajua kinaweza kunuka muda wowote.

Pia kuna wakati unakuja unawasha baadhi vya vyumba na Floor pengine hapawaki na Luku zinaji-trigger sana, Mara wanakata tena na kurudisha. Ukipigia hawaji wanasema ni tatizo la kiufundi ila utatuunguzia Vifaa vyetu haueleweki kabisa.

Tatizo hilo limeanza Jumatano ya mwisho wa Mwezi wa 10 hadi leo hii.

Mbona TANESCO hawasemi chochote! Hali hii inavyoendelea inaweza kusababisha madhara kwa vitu na mali kuungua, pia ni mbaya kwa Wafanyabiashara ambao wanategemea umeme na hawana taarifa sahihi juu ya kinachoendelea.
 
Kuna siku ulikatika mtaa mzima mida ya jioni,baadae ukarudi baadhi ya nyumba aukurudi,kama mimi jirani yangu tunaoshare nguzo kwake ulikuwepo halafu kwangu ni full kiza!
 
Umeme umekuwa na Tatizo kubwa sana Maeneo ya Mbezi, Kimara unakatika unarudi, hovyohivyo, na kuna muda unarudi unawasha taa tu, hauwashi hata Fridge wala AC.

Pia kuna wakati unakuja unawasha Baadhi vya vyumba na Floor pengine hapawaki na Luku zinaji-trigger sana, Mara wanakata tena na kurudisha. Ukipigia hawaji wanasema ni tatizo la kiufundi ila utatuunguzia Vifaa vyetu haueleweki kabisa.

Tatizo hilo limeanza Jumatano ya mwisho wa Mwezi wa 10 hadi leo hii.
Siyo tu Kimara na Mbezi hata Kigamboni baadhi ya maeneo wanakata kila ikifika giza na ukiwapigia hawana majibu. Au ndiyo mazingira ya mgao yanaanzia hivi hivi. Inakera unarudi toka kwenye kuisaka pesa unafika unakutana na giza na hapo unakuta kuna vijana wanasota kusoma wengine watoto wa shule marudio ya masomo wengine watumishi wanavikazi wanahitaji malizia. Kama bwawa limekamilika nini tatizo na kila ikifika giza tu.
 
Habari Mamndenyi, asante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tufahamishe, Eneo, mtaa na namba ya simu kwa msaada zaidi. ^GK
Habari TANESCO
ile remote ya kuwekea umeme haiwaki hata nikiweka betri au kuchomeka chaji , naomba kupata msaada wa remote niko mbeya
 
Habari TANESCO
ile remote ya kuwekea umeme haiwaki hata nikiweka betri au kuchomeka chaji , naomba kupata msaada wa remote niko mbeya
Salama Magezi bugaga, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, tafadhali tupatie taarifa zifuatazo kwenye inbox (DM) yetu kwa msaada zaidi,
Jina
Mkoa
Wilaya
Eneo
Namba ya simu
Mita namba
Kitu maarufu karibu na wewe
Namba ya nyumba
TANESCO Huduma Kwa Wateja
SIMU: 0748 550000
WhatsApp: 0758346869. ^GK
 
Umeme umekuwa na tatizo kubwa sana Maeneo ya Mbezi na Kimara umekuwa unakatika na kurudi mara kwa mara, na kuna muda unarudi unawasha taa tu, hauwashi hata Fridge wala AC kwa kuwa unajua kinaweza kunuka muda wowote.

Pia kuna wakati unakuja unawasha baadhi vya vyumba na Floor pengine hapawaki na Luku zinaji-trigger sana, Mara wanakata tena na kurudisha. Ukipigia hawaji wanasema ni tatizo la kiufundi ila utatuunguzia Vifaa vyetu haueleweki kabisa.

Tatizo hilo limeanza Jumatano ya mwisho wa Mwezi wa 10 hadi leo hii.

Mbona TANESCO hawasemi chochote! Hali hii inavyoendelea inaweza kusababisha madhara kwa vitu na mali kuungua, pia ni mbaya kwa Wafanyabiashara ambao wanategemea umeme na hawana taarifa sahihi juu ya kinachoendelea.
Mbona kwetu upo "Full time "??
 
Salama Magezi bugaga, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, tafadhali tupatie taarifa zifuatazo kwenye inbox (DM) yetu kwa msaada zaidi,
Jina
Mkoa
Wilaya
Eneo
Namba ya simu
Mita namba
Kitu maarufu karibu na wewe
Namba ya nyumba
TANESCO Huduma Kwa Wateja
SIMU: 0748 550000
WhatsApp: 0758346869. ^GK
"TANESCO hataki kusema ukweli kuwa analipwa mshahara mkubwa Serikalini na Malupulupu manono kila saa na siku nzima" - Muda wote ni Kazi ya UMEME tu

Au tuanze kwenye hizo kazi za UMEME wanahitaji watu wa aina/tabia gani kufanya nae kazi sana sana!?
👑 Upole au Ukali
👑 Ukarimu au Ukatili
👑 Muoga au Jasiri
👑Wanaocheka au Wanaonuna
👑 Wenye Ndugu au Wasio na Ndugu
👑Wenye Fedha au Masikini
👑WafanyaBiashara au Wafanyakazi
👑 Uvivu au Uchapakazi
👑 Kufuata utaratibu uliopo au Kufuata utaratibu utakaokuja
👑Wafugaji au Wakulima
👑Wanaopenda Dini au Wapagani
👑Wanaopenda Starehe au Wasiopenda Starehe
👑Wabunifu au Wasio wabunifu
👑Wasomi au wasiosoma
Hivyo yaani
Yesu ulipigwa sijui walilidhika na ukweli uliowapa

images (3).jpeg
 
Umeme umekuwa na tatizo kubwa sana Maeneo ya Mbezi na Kimara umekuwa unakatika na kurudi mara kwa mara, na kuna muda unarudi unawasha taa tu, hauwashi hata Fridge wala AC kwa kuwa unajua kinaweza kunuka muda wowote.

Pia kuna wakati unakuja unawasha baadhi vya vyumba na Floor pengine hapawaki na Luku zinaji-trigger sana, Mara wanakata tena na kurudisha. Ukipigia hawaji wanasema ni tatizo la kiufundi ila utatuunguzia Vifaa vyetu haueleweki kabisa.

Tatizo hilo limeanza Jumatano ya mwisho wa Mwezi wa 10 hadi leo hii.

Mbona TANESCO hawasemi chochote! Hali hii inavyoendelea inaweza kusababisha madhara kwa vitu na mali kuungua, pia ni mbaya kwa Wafanyabiashara ambao wanategemea umeme na hawana taarifa sahihi juu ya kinachoendelea.
Tunazalisha umeme mwingi wakati waya za kusafirisha umeme ni zile zile nyembamba, hivyo umeme hubanana ukigombania kupita na kusababisha upungufu au kukatika. Ili kutatua tatizo wataalamu wabobezi inabidi waende kwenye viwanda vya ulaya wakachague na kununua waya zenye unene kulingana na umeme tunaozalisha, kuweni watulivu.
 
Salama Magezi bugaga, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, tafadhali tupatie taarifa zifuatazo kwenye inbox (DM) yetu kwa msaada zaidi,
Jina
Mkoa
Wilaya
Eneo
Namba ya simu
Mita namba
Kitu maarufu karibu na wewe
Namba ya nyumba
TANESCO Huduma Kwa Wateja
SIMU: 0748 550000
WhatsApp: 0758346869. ^GK
Tanesco umeme naingiza auingii nimeshanunua mara 3 ukiingiza unasema no no no

Namba ya mita ni 43001069764
 
Tanesco umeme naingiza auingii nimeshanunua mara 3 ukiingiza unasema no no no

Namba ya mita ni 43001069764
Habari pamjela, asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali rejea inbox (DM) kwa msaada zaidi. ^GK
 
Umeme umekuwa na tatizo kubwa sana Maeneo ya Mbezi na Kimara umekuwa unakatika na kurudi mara kwa mara, na kuna muda unarudi unawasha taa tu, hauwashi hata Fridge wala AC kwa kuwa unajua kinaweza kunuka muda wowote.

Pia kuna wakati unakuja unawasha baadhi vya vyumba na Floor pengine hapawaki na Luku zinaji-trigger sana, Mara wanakata tena na kurudisha. Ukipigia hawaji wanasema ni tatizo la kiufundi ila utatuunguzia Vifaa vyetu haueleweki kabisa.

Tatizo hilo limeanza Jumatano ya mwisho wa Mwezi wa 10 hadi leo hii.

Mbona TANESCO hawasemi chochote! Hali hii inavyoendelea inaweza kusababisha madhara kwa vitu na mali kuungua, pia ni mbaya kwa Wafanyabiashara ambao wanategemea umeme na hawana taarifa sahihi juu ya kinachoendelea.
Huku kwetu tunashukuru sana kukatika ni mara chache na hili joto ingekuwa balaa.
 
Umeme umekuwa na tatizo kubwa sana Maeneo ya Mbezi na Kimara umekuwa unakatika na kurudi mara kwa mara, na kuna muda unarudi unawasha taa tu, hauwashi hata Fridge wala AC kwa kuwa unajua kinaweza kunuka muda wowote.

Pia kuna wakati unakuja unawasha baadhi vya vyumba na Floor pengine hapawaki na Luku zinaji-trigger sana, Mara wanakata tena na kurudisha. Ukipigia hawaji wanasema ni tatizo la kiufundi ila utatuunguzia Vifaa vyetu haueleweki kabisa.

Tatizo hilo limeanza Jumatano ya mwisho wa Mwezi wa 10 hadi leo hii.

Mbona TANESCO hawasemi chochote! Hali hii inavyoendelea inaweza kusababisha madhara kwa vitu na mali kuungua, pia ni mbaya kwa Wafanyabiashara ambao wanategemea umeme na hawana taarifa sahihi juu ya kinachoendelea.
Ni tatizo nchi nzima Hili shirika libinafsishwe tangu uhuru matatizo ni yale yale hayaishi
 
Tanesco wako juu sana siku hizi mpaka humu wamo...
 
Tanesco wako juu sana siku hizi mpaka humu wamo...
Wako vizuri sana usisite kuwapigia mm tatizo niliwaambia jana leo wamekuja mafundi kutatua
Kwa hili wanajitahidi sana 7bu sio mara ya kwanza kunitatukia shida yangu kwa wakat
Nawaoa HONGERA SANA TIMU YA NTANDAONI NA EMERGENCY WA BAJAJI wako humble na faster sana
 
Habari pamjela, asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali rejea inbox (DM) kwa msaada zaidi. ^GK
@TANESCO jambo langu limefanukiwa mafundi wenu walikuja leo ASUBUHI kulishighulikia tatizo langu na wamelitatua
Nashukuru sana kwa ushirikiano na msaada kwa haraka

Lakini hapa mtaa pili kuna NGUZO imeoza imekatika kabisa juu kwenye VIUNGIO kwa maana inashukiliwa na waya tu nakuwekea picha chini

Naimani mtakuja kuibadirisha kbla haijaleta madhara zaidi ipo nyumba ya nne kutoka nyumbani kwetu
Screenshot_20241206-122121.jpg
 
Back
Top Bottom