KERO Umeme Vikindu bado ni changamoto kubwa

KERO Umeme Vikindu bado ni changamoto kubwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Richardsoneddo

New Member
Joined
Jul 5, 2024
Posts
2
Reaction score
1
Nashangazwa sana na utendaji wa Tanesco, nilikuwa nakaa Dodoma umeme ulikuwa haukatiki ovyo ila maisha ya kule ni gharama sana nikamua nihamie Vikindu Vianzi kupata unafuu wa maisha na kujiendeleza kibishara kwa kutumia umeme. Cha ajabu tangia nihamie nina miezi miezi mitatu ila sijawahi kukaa siku 2 bila umeme kukatika. Pia kwa siku hata mara 6 unaweza kukatika

Inanifikirisha sana, nitawezaje kujiendeleza kwa kutumia umeme na umri unaenda?

Naomba mamlaka husika zitekeleze majumu yao wananchi, tunaangamia na kushindwa kujiendeleza.
 
Tupaze sauti lakini nachelea kusema kuwa hautasikika.
 
Nashangazwa sana na utendaji wa Tanesco, nilikuwa nakaa Dodoma umeme ulikuwa haukatiki ovyo ila maisha ya kule ni gharama sana nikamua nihamie Vikindu Vianzi kupata unafuu wa maisha na kujiendeleza kibishara kwa kutumia umeme. Cha ajabu tangia nihamie nina miezi miezi mitatu ila sijawahi kukaa siku 2 bila umeme kukatika. Pia kwa siku hata mara 6 unaweza kukatika

Inanifikirisha sana, nitawezaje kujiendeleza kwa kutumia umeme na umri unaenda?

Naomba mamlaka husika zitekeleze majumu yao wananchi, tunaangamia na kushindwa kujiendeleza.
Vikindu ni wapi mkuu
 
Back
Top Bottom