Umeme wa IPTL utawashwa lini?

IPTL itawashwa mara moja kama Rais alivyoagiza.tehetheeee

Umesahau Mkuu Tanzania hatuna Rais bali tuna Msanii anayedhani kwamba yeye ni Rais. Huwezi kuwa Rais mwenye madaraka makubwa na kushindwa kuyatumia madaraka yako katika kuiepusha nchi kuelekea katika janga kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…