resonanceiduufu
Senior Member
- Jul 29, 2016
- 112
- 62
Nimemaliza Diploma ya Magari, (Automotive Engineering) Ila natamani sana kuendelea kupanua zaidi ujuzi kwenye ufundi wa umeme wa magari!
Nipo Dar es Salaam Temeke Keko juu, tafadhali kama kuna fundi wa Umeme wa magari, nijulishe ili tushirikiane pamoja, hata kwa kumlipa niko tayari!
Theory ya umeme wa magari niko vizuri, ila natamani kufanya kwa vitendo zaidi coz ujuzi haukui bila kugusa!
ASANTENI!
Nipo Dar es Salaam Temeke Keko juu, tafadhali kama kuna fundi wa Umeme wa magari, nijulishe ili tushirikiane pamoja, hata kwa kumlipa niko tayari!
Theory ya umeme wa magari niko vizuri, ila natamani kufanya kwa vitendo zaidi coz ujuzi haukui bila kugusa!
ASANTENI!