Umeme wa solar kwa kasi ya ajabu

SEPON-LTD

Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
84
Reaction score
7
Sepon Limited huduma zetu za umeme wa solar na backup system zinazidi kushika kasi kwa ubora, tunakufikia mteja popote ulipo na kukupa huduma bora kwa warranty ya mwaka mzima na huduma ya bure kwa mwaka mzima baada ya kupatiwa huduma yetu.

Karibu sana, Ofisi zetu zipo Sinza Mori.

Wasiliana nasi 0716485858/0762246488

Instagram: @seponltd
Twitter: @seponltd


 
SEPON LIMITED inakuwezesha kuepukana na shida ya katikakatika ya umeme wa tanesco kwa kukupatia huduma bora kabisa ya backup maofisini na majumbani.
Tunakufungia kwa gharama nafuu zaidi popote ulipo Tanzania.
Warranty zetu ni mwaka mzima pia tunakupatia free service kwa mwaka mzima.

Ofisi zetu zipo sinza mori along meeda road.
Pia tunapatikana kwenye website yetu www.sepon.co.tz
Instagram SEPOnltd
Twitter SEPOnltd
Facebook www.facebook.com/seponltd

Wasiliana nasi 0716485858/0762246488
KARIBU
 
Last edited by a moderator:

Napita 2
 
Last edited by a moderator:
Umeme huo upo vipi mkuu au inakuwa kama solar?

asante Munrash. wenyew unafungiwa battery za solar na inverter then tanesco ikikata automatic unaendelea kupata umeme
 
mwanza mnapatikana wapi? Na vipi gharama zake? Pia ulipaji wake ukoje?

Huduma zetu mwanza tunakufikia, gharama zake inategemeana na vitu gani unataka kutumia solar, malipo unaweza ukalipia bank au cash ofisini. KARIBU
 
sepon limited inakufungia backup system na kukupa huduma bure ndani ya mwaka mmoja pia unapewa na warranty ya mwaka mzima.
Huduma zetu ni
1- Solar systems
2- Backup systems.


Tunakufunga majumbani, makanisani, misikitini, maofisini na kwenye miradi mbalimbali kama ufugaji kuku, pump za maji na kuendelea.

Huduma zetu ni bora na za uhakika kwa gharama nafuu zaidi.
Tunapatikana Tanzania nzima na tunakufuata mpaka ulipo.

Wasiliana nasi 0716485858/0762246488

Website: www.sepon.co.tz
Instagram: seponltd
Twitter: seponltd
Facebook: seponltd
 
mkuu unaweza kututajia bei...assume niko dar ili tuweze kujua kama tunaweza ku afford or nt...
 
mkuu unaweza kututajia bei...assume niko dar ili tuweze kujua kama tunaweza ku afford or nt...
kuna mifumo mingi kuanzia milion moja na laki tisa mpaka milion kumi inategemeana na mahitaji yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…