Umeme wa solar

Felix Mwinami

Member
Joined
Aug 12, 2019
Posts
24
Reaction score
17
Wakuu mimi nina solar ya 160W chloride betri N100.

Natumia taa 12 na tv inch 15 cha ajabu nikiangalia tv masaa 3 mfululizo tv inaniandikia no signal. Je tatizo ni betri kuisha nguvu au ni dish?
 
Wakuu mimi nina solar ya 160W chloride betri N100. Natumia taa 12 na tv inch 15 cha ajabu nikiangalia tv masaa 3 mfululizo tv inaniandikia no signal. Je tatizo ni betri kuisha nguvu au ni dish?
Watu mnatapeliwa sana na umeme wa Solar
 
90% Ni Moto Kuisha Kwenye Betri
Usihangaike na Kufungua Funga Dish Unajisumbua Bure
 
unatumia Mfumo wa DC au AC? Nikupatie ushauri
 
King'amuzie Huwa kina chemka na kashindwa kukontrolt moto mara nyingi ving'amuzit vya DStv ndioe TATIZO!

Kwenye king'amuzi tumia invertor halafu tv tumia direct !!

Jaribu hiyo ita work out iliwahi nisumbua Sana tena wakati wa JUA kali kwa Sana!!
 
King'amuzie Huwa kina chemka na kashindwa kukontrolt moto mara nyingi ving'amuzit vya DStv ndioe TATIZO!

Kwenye king'amuzi tumia invertor halafu tv tumia direct !!

Jaribu hiyo ita work out iliwahi nisumbua Sana tena wakati wa JUA kali kwa Sana!!
shukrani sana kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…