Hadi sasa Tabata umeme haujarudi. Hizi ni hujuma.TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME DAR ES SALAAM NA ZANZIBAR
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linaskitika kuwatangazia wateja wake, kuwa kumetokea hitilafu kwenye kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Ubungo leo Desemba 15, 2021 saa 3:18 asubuhi.
Mafundi wanaendelea na jitihada za kutatua tatizo hilo, kufikia saa 5:00 asubuhi huduma ya umeme itakuwa imerejea maeneo yote.
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza .
IMETOLEWA NA;
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO MAKAO MAKUU.
Wamekata tena baada ya dakika 3[emoji51][emoji51][emoji51]Hapa Kibamba Dar es salaam umerejea dakika kama 2 zilizopita.
Wamerudisha tena baada ya dakika 2[emoji1]Wamekata tena baada ya dakika 3[emoji51][emoji51][emoji51]
Wamerudisha tena baada ya dakika 2[emoji1]
Hawajakata tena mkuu[emoji1]Wamekata tena baada ya dakika 1
Hawajakata tena mkuu[emoji1]
Ni nchi nzima wamezima.bado haujarudi hadi sahivi[emoji848]