Pdidy kumbe wewe ni mwanamke? mi kila siku najua ni mwanaume...
Maajabu hayana mwisho,ukidhani unajua jinsia za watu JF utashangaa sana....mi Pdidy nilijua mwanaume tena mtu mzima....:washing:
Anyway, tutawaombea na wao wajitahidi basi ku-control viungo vyao vya uzazi jamani....Lol
Hapo kwenye blue inahusika kabisa....
Unajua nilitaka kunukuu ile post ya kwanza nikuulize kwa nini wanawake wawaombee waume zao? wenyewe hawajui kuomba? lolChange begins with them...control yourself then God will do his part!
Unajua nilitaka kunukuu ile post ya kwanza nikuulize kwa nini wanawake wawaombee waume zao? wenyewe hawajui kuomba? lol
Kuna wamama wengi tumekuwa kimya sana na wengi wamekuwa kimya sababu
awataki kujua jukumu lao...baibo inasema wanawake watawalinda mumewe
wewe kama mke umemlindaje mumeo??ujawahi kukesha hata kumuombea mungu amuepushe
na zile small houses....anyway nisikupe desa msikate tamaa jitahdi kumuombea mumeo maombi
ni nguvu kubwa katika maisha yenu ya kila siku
mungu awabariki
Kuna wamama wengi tumekuwa kimya sana na wengi wamekuwa kimya sababu
awataki kujua jukumu lao...baibo inasema wanawake watawalinda mumew
wewe kama mke umemlindaje mumeo??ujawahi kukesha hata kumuombea mungu amuepushe
na zile small houses....anyway nisikupe desa msikate tamaa jitahdi kumuombea mumeo maombi
ni nguvu kubwa katika maisha yenu ya kila siku
mungu awabariki
Kuna wamama wengi tumekuwa kimya sana na wengi wamekuwa kimya sababu
awataki kujua jukumu lao...baibo inasema wanawake watawalinda mumewe
wewe kama mke umemlindaje mumeo??ujawahi kukesha hata kumuombea mungu amuepushe
na zile small houses....anyway nisikupe desa msikate tamaa jitahdi kumuombea mumeo maombi
ni nguvu kubwa katika maisha yenu ya kila siku
mungu awabariki
Change begins with them...control yourself then God will do his part!
Wanaume waache kutuzingua, kuna mambo wanafanya kwa uzembe kabisa na makusudi juu as if hawajui agizo la muumba!! Hii dhana mkiiendekeza kila kitu kumsema mwanamke tu na kumtupia kila zigo la mumewe.......hakyanani nyie wanaume mtatuozea kabisaaaa manake mnajisahau sana na istoshe kwenye mambo mengi ya ndoa mnajiexclude mnoo!!!
Vipi hapa wanawake tu au..?
Wanaume waache kutuzingua, kuna mambo wanafanya kwa uzembe kabisa na makusudi juu as if hawajui agizo la muumba!! Hii dhana mkiiendekeza kila kitu kumsema mwanamke tu na kumtupia kila zigo la mumewe.......hakyanani nyie wanaume mtatuozea kabisaaaa manake mnajisahau sana na istoshe kwenye mambo mengi ya ndoa mnajiexclude mnoo!!!