Inatosha mama🤣🤣🤣🤣maana wa ugavi sijui ataseviwaje🤣🤣🤣 Niendelee ama niishie hapo.
hivi vituko vyenu....Akuepushe na nin tena.
😁😁😁hivi vituko vyenu....
Hata Mimi ukipiga huo mchepuko huja mamba mpyaMchepuko ni mchepuko tu. Mchepuko hauseviwi kila siku unaingia kama namba mpya
Kabisa kaka...Hata Mimi ukipiga huo mchepuko huja mamba mpya
Ndio hatuna kwani vipHamna akili nyinyi