Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
- Thread starter
-
- #41
Swahiba... kwenye tima na maendeleo ya jamiii wanasema the first step towarsd healing is accepting that you have problems, and in this case ni kwamba you are part of the problem
sasa unapoona mtu anahamisha shida au lawama zote kwa one party ujue kabisa huyo mtu hana dalili ya kuerevuka au kuelewa nini maana ya mapenzi.... it takes two to tangle and at any particular time, wote wanakua part ya furaha na wanakua part ya huzuni
to me mtu akiniambia nimemaribia maisha napata mawazo haya;
yeye si mtu bali ni kitu and i was using it
yeye hana utut wala utashi wa kung'amua chochote, i am the driver, screw drive and a screwer
yeye hajui kwanini alikua na mimi... irresponsible etc
the only place where this statement is valid ni kama ntakua nimemvictimize kazini, kumbaka, kumuibia, kumtapeli etc
otherwise the sentence is a blanket to cover up for ones ignorance
MTM Spot on track bro!
maisha ni "kitendawili, kitegue....!"
,...pamoja na kuwalaumu kwetu hawa wanaotwambia tumewaharibia maisha?
hao ni wenzetu, wake zetu, ndugu zetu, wafanyakazi wenzetu etc....je, tuwasaidiaje?
nadhani kuwatenga kutawafanya wafiche makucha yao kwa muda...
...tayari wana disability ya kujiona wao wanakuwa victimized bila ku own their faults kwenye relationship.
Hudhani kwamba ku boost ego, pride na self esteem zao ni njia mojawapo ya kuwasaidia? hebu tupe darasa
la mental heath sasa.... kama jamii, tunakosea wapi kwenye malezi?
iwapo mke (mama) ndiye mklezi wa taifa la kesho, huoni kwamba tukiendekeza 'ulemavu' huu tunazidi kuzalisha
whingers, whinpers and moaners nchini? mfano; cheki thread za kumlaumu Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, LOL...
hawaishii hapo,....mpaka majumbani wao ni kulalamika tu!
Where do we draw the line and take up the responsibilities za maisha/mapenzi?