Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Unakuta kwenye gari imening'inia rozari au tasbihi kuonesha mwenye gari - labda kama ni mwajiriwa - ana mtukuza Mungu ambaye anamtaka ampende jirani yake.
Jirani ni mtu yeyote aliye karibu yako. Sasa inakuwaje umkatarie mtumiaji mwingine wa barabara kuingia barabara kuu au kutoka barabara kuu? Pia, iweje uwakatallie watembea kwa miguu kuvuka barabara?
Sasa hiyo rozari au tasbihi ni urembo? Maanake kama ingekuwa inakukumbusha kuwa mtu mwema basi tungeuona wema wako kwa vitendo.
Kwa mlioweka misalaba, rozari, tasbihi, picha za mambo ya dini, naomba mniambie mmeweka ishara hizo za ucha Mungu wakati matendo hamna ni kwa ajili ya nini?
Jirani ni mtu yeyote aliye karibu yako. Sasa inakuwaje umkatarie mtumiaji mwingine wa barabara kuingia barabara kuu au kutoka barabara kuu? Pia, iweje uwakatallie watembea kwa miguu kuvuka barabara?
Sasa hiyo rozari au tasbihi ni urembo? Maanake kama ingekuwa inakukumbusha kuwa mtu mwema basi tungeuona wema wako kwa vitendo.
Kwa mlioweka misalaba, rozari, tasbihi, picha za mambo ya dini, naomba mniambie mmeweka ishara hizo za ucha Mungu wakati matendo hamna ni kwa ajili ya nini?