Kama hauna wivu tugawaneMimi kwake nishadataa kaniteka kabisaa handsome balaa
Ungekuwa kiben ten changu lakin ndo ulisema hupendiHuyo hata akifanyaje hawez fika hata nusu ya uhansam wangu
Oooh mtafute tu kama mtamu urudi utuambie eeeUsiniambie mamy anaonekana muhandsome maana hilo jina na avatar vinatisha bhn nichombeze basi na mm tugawane si unajua mambo ya mahandsome mm ndo ugonjwaa wanguuuu alafu awe na kamdomo katamu ni balaaaaaa
Hahahaah kwa hiyo ben10 na mario wana utofuti ganiHuyo jamaa ni mario mimi namfaham fresh sana
Mimi kwa mbitiyaza siyo mario bali ben 10
Ooh Beira handsome wangu hataki mashindano uzuriHuyo hata akifanyaje hawez fika hata nusu ya uhansam wangu
Gudume anaishi Tz ,huyu G anaishi Us sawa[emoji23] [emoji23] [emoji23]nakumbuka kama vile kuna siku niliona jamaa kakuapia lazima akutafune zamu yako ikifika. Tayari!!!
Acha bwana..... beira mishe za kusoma London ziliishia wapi?Huyo jamaa ni mario mimi namfaham fresh sana
Mimi kwa mbitiyaza siyo mario bali ben 10
Hahahaa nifungulie uzi tu mimi sina shida. Uz uwe wa maombi ya ya kunitaka niwe kiben ten chako mbona simpo tuUngekuwa kiben ten changu lakin ndo ulisema hupendi
Rudi shule kasomeee
Hahaha [emoji23][emoji28][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122]Wewe bwana hawakukunji vilivyo.usingeata muda wa kuandika mashairi marefu hivi.
Mario ni mwanaume anaye lelewa na mwanamke lakin ben 10 ni kivulana chenye mwanamke anaye kizid umri au miakaHahahaah kwa hiyo ben10 na mario wana utofuti gani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nitaanzaje jaman mm naogopaOooh mtafute tu kama mtamu urudi utuambie eee
Mama Sabrina mbinafsi sana aseee!! Angekuja dar ndio wanaume wakunjaji tupoo!!Wewe bwana hawakukunji vilivyo.usingeata muda wa kuandika mashairi marefu hivi.
Ahahaaa mkuu zilikwama maana LONDON nisingepiga misele hivyo nikaona bora nitulie hapa hapa kwa nyerereAcha bwana..... beira mishe za kusoma London ziliishia wapi?
Na Mbitiyanza anitoe nundu kisa ben tenHahahaa nifungulie uzi tu mimi sina shida. Uz uwe wa maombi ya ya kunitaka niwe kiben ten chako mbona simpo tu
Ukitaka kufungua uje pm nitakutumia picha uambatanishe kwenye uz
Gudume Akisoma hapa lazima akutafute. Maana sio kwa sifa hiziGudume akikumata wewe utanyamaza kimya sijui atakuwa mtamu sana yule
Sawa shemeji yangu mi ndio maana nakukubali sanaMario ni mwanaume anaye lelewa na mwanamke lakin ben 10 ni kivulana chenye mwanamke anaye kizid umri au miaka
Mimi sio mario maana silelewi lakin nina baby wangu mbiti ananizida miaka maana mimi nina miaka 20 lakin yeye ana miaka 46
Hahaaaa kwani unamuogopa?Na Mbitiyanza anitoe nundu kisa ben ten
HahahaHuyo jamaa ni mario mimi namfaham fresh sana
Mimi kwa mbitiyaza siyo mario bali ben 10
Mnaungana etiHahaha [emoji23][emoji28][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122]
Hapana kabisa huyu wangu mimi tu we nenda kwa Gudume anakufaa kabisaKama hauna wivu tugawane
Utanitoa rohoo kwa wivuuu jaman
Huyu handsome kama yupo hapa apite jaman mm nipo tayar kwa mitala
Mama sabrina nakuomba kizur kula na mwenzio jaman why?