Umepangiwa chuo kipi na Course program ipi...?

nimekupa fact Unaanzaa kukaguaa maandishi! dalili za kutokwa na povuu hizoo! Kojoa ukalale

Kwel akalale ni mtoto huyo,mtazame tu matendo yake ndo ishu za kuandika hzo,jbu kwa fact kjana.
 
KUANDIKA KWEnyewe hujui!!,miepec ndio nini??, utafit ndio nini? ? mnavotolewa ndio nini? ?, c YA IFM NI D/E YA MUCCoBS(SUA), B ya IFM NI C YA MUCCoBS(SUA)., C YA MUCCoBS 50%

Unapapenda ifm eeh,kwa majibu ya kilev hvo cdhan kama patakufaa,maana huelewek wenzio 2najbu kwa fact we unaropoka,unanikumbusha kaul ya mfa maj haach......,unaacha kujbu maada unakagua wap pamekosewa,kakojoe ulale ili ukue na fikra zako zpanuke
 

MALIZIA TUU MTU WA TAASISI!KUANDIKA KWENYEWE HUJUI! , MASOMO RAHISI EEGH?? HEBU NITAJIE MASOMO MAGUMU IFM?? , C YA Ifm ni d/e ya MUCCoBS ,
 
Dogo ameanza kuchemka!!anabishana ujinga et now anaangalia maandishi..huyu chz nahic hata kwa wazazi wake ameshashinda!!kaka CHROMIUM achana nae hajitambui huyu mwehu..ushamba unamzingua!!ametoka maporini huko now amekuja mjini kusoma!!hahahaaaa..
 
nimekupa fact Unaanzaa kukaguaa maandishi! dalili za kutokwa na povuu hizoo! Kojoa ukalale

Huyu sijui sheria gani anasoma Ushirika. Ni hewa tupu. Hana hoja ni kelele.

Nimemwambia anitajie walimu wake wenye PhD, nashangaa anakuja na list ya watu ninaowajua vizuri wenye Master's Degree na anawaita Dr. na Prof.

And he seems happy about it! Shame.

Sikuwa na lengo la kumwonyesha picha sawia ya Ushirika (asiyoijua yeye) ila hii tabia ya kukosoa wanakosoma wenzake imenifanya nimdokeze hilo kwa sasa.
 
Unapapenda ifm eeh,kwa majibu ya kilev hvo cdhan kama patakufaa,maana huelewek wenzio 2najbu kwa fact we unaropoka,unanikumbusha kaul ya mfa maj haach......,unaacha kujbu maada unakagua wap pamekosewa,kakojoe ulale ili ukue na fikra zako zpanuke

IFM HAIFANANI NA MUCCoBS(SUA), IFM NI TAASISI NA SIO CHUOKIKUU, IFM IMEANZISHwa mwaka 1972 na NBC , IFM AVERAGE40%, MUCCoBS(SUA) AVERAGE50%, NI CHUO KIKUU PEKEE KINACHOTOA MAFUNZO YA USHIRIKA KUSINI MWAJANGWA LA SAHARA, MUCCoBS IMEANZISHWA MIAKA YA 1960S
 

Achana nae!!anatafuta umaarufu huyo!!mshamba tu huyo..
 

kweli wewe mbuzi tena jike! Humjui profesa msanga??, dr.mwende? ? ,dr.msaki??, dr.magigi??dr.towo??,
 
dogo ameanza kuchemka!!anabishana ujinga et now anaangalia maandishi..huyu chz nahic hata kwa wazazi wake ameshashinda!!kaka chromium achana nae hajitambui huyu mwehu..ushamba unamzingua!!ametoka maporini huko now amekuja mjini kusoma!!hahahaaaa..

wewe mjinga kweli! !kama hujui kuandika usisahihishwe??
 
MALIZIA TUU MTU WA TAASISI!KUANDIKA KWENYEWE HUJUI! , MASOMO RAHISI EEGH?? HEBU NITAJIE MASOMO MAGUMU IFM?? , C YA Ifm ni d/e ya MUCCoBS ,

Ni taasis ila ni taasis inayojtegemea na c taw la chuo fulan,unanichekesha ukitaja chuo chako lazima uandike SUA (MUCCOBS),hii inaonesha kua chuo chako cha ushirika ni tegemezi,karibu ifm taasis inayojtegemea,a very unique institute,teaching how to manage fund,we are dealing wit CASH ONLY en not fools like.....,OVER
 

hujui hata kuandika!!, niondoke na taasisi yako ya usimamizi wa fedha
 
Sitakujibu tena. Kuna mengi usiyoyajua kama mwanafunzi. Ningekuelimisha kama ungeonyesha dalili za usomi. Wasomi hawatukani hovyo. Wasomi ni wajenzi wa hoja. Wasomi hawajisifii vyuo uchwara. Wasomi ni watulivu. Wasomi hawapalii ego kwa kuwakejeli wenzao. Wewe si mmoja wao. Ni kupoteza muda kujaribu kukugeuza.

Kila la heri.
 

mkuu Chromium ngoja tuachane nae! NB; hiyo law yenyewe amehamia huko huko chuoni alipelekwa pale muccobs course flan ya marketing, so naona alioonga ili akasome hiyo law..!! Ushahd tafuta thread kama hii humu humu kwenye jukwaa la elimu selection za mwakajana 2012/2013 za tcu zilivotokaa uone, sema natumia simu now siwez ku attach evidence!
 
Last edited by a moderator:
Wewe mshamba tu..na elimu yako unaimalizia huko huko!!unafkr mjini utapata kazi wewe!!..chz mkubwa wewe!!..mombasa watakuoa dogo kwa shobo zako
 

TOKAA HAPAA ETI ULIKUWA LECTURER MUCCoBS LABDA MKE WA LECTURER
 
wewe mshamba tu..na elimu yako unaimalizia huko huko!!unafkr mjini utapata kazi wewe!!..chz mkubwa wewe!!..mombasa watakuoa dogo kwa shobo zako

matusi ya nini?? Wewe umekuwa muajiri mpaka useme sipaji kazi!maneno yako ya kijiweni yanaonyesha jinsi ulivyo mjinga??
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…