Umepangiwa chuo kipi na Course program ipi...?

Hahahahaaa...mm napita tu atajibu mwenyewe mpiga msuli..mm nilikua cjui kama ana tabia hii

Dogo sijui katokea wapi .. na anadanganya watu amesoma Tabora Boys mwaka jana... Wakati aliyeenda MuCobs mwaka jana kutoka Tabora ni mmoja tu,, afu hana mambo ya kitoto kama yake
 
Dogo sijui katokea wapi .. na anadanganya watu amesoma Tabora Boys mwaka jana... Wakati aliyeenda MuCobs mwaka jana kutoka Tabora ni mmoja tu,, afu hana mambo ya kitoto kama yake

chezea kujificha nyuma ya keyboard.....mtu ndo anaonesha true colours zake....
 
wale ni WAKUFUNZI kaka... mwalimu anakulazimisha kuelewa hata kwa viboko.... LECTURER anakuongoza ​where to get what..

Ukikwepa kuwaita walimu basi waite wahadhiri.

Wakufunzi=Tutors
Wahadhiri=Lecturers

Lakini hawa wote ni walimu=Educators,Teachers
 
nakuamini kaka!!nimeziona product nyingi za ardhi zinavyopeta mtaani..course zake bado zina market sana..mm nakwenda kupiga geomatics mungu akinijaalia uhai na uzima!!..
GEOMATIC a.ka. wasaka nyoka NDO BONGE LA KOZI AS LAND SURVEYOR KAZI YOYOTE YA UJENZI LAzima ipitie kwanza na surveyor, dogo kapige shule ila ukifika mwaka wa tatu acha tamaa ya hela hadi umalize chuo
 
GEOMATIC a.ka. wasaka nyoka NDO BONGE LA KOZI AS LAND SURVEYOR KAZI YOYOTE YA UJENZI LAzima ipitie kwanza na surveyor, dogo kapige shule ila ukifika mwaka wa tatu acha tamaa ya hela hadi umalize chuo

usijali kaka ..tuombe mungu atupe uzima tu..nitaanza kuchimoka na ule msuli wangu wa advance kuanzia wiki ya kwanza..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…