Umepangiwa chuo kipi na Course program ipi...?

majanga, hawa airel na tcu

Hii nchi mkuu baada ya kuanza kukabiri unga watu wanatafuta njia za kula kinamna. TCU inaacha kutumia website yao ambayo ina bandwidth kubwa wanawapa airtel ambao jam kwao ndo kila kitu - matokeo mtu akibofya hiyo *150*44# anapata "external application down" pengine azikiri uchi!!

Akaunti za applicants ndani ya TCU zimevamiwa na matangazo ya porn!! - mambo gani haya - tutaamini yanayojili hivi sasa kweli!!
 


mH porn mbona mi sijawahi ona ach uzushi
 
mH porn mbona mi sijawahi ona ach uzushi

sema wewe hujaona usiseme uzushi - wapo tulioona kwenye account na TCU. Tumeona kwenye My profile then View my selection status - pale kwenye jedwali yameingia maandishi ya rangi ya kijani. ukiiweka pointer kwenye maandishi yale ya kijani utaona adverts za porn.
 
naomb mtu anitazamiejina langu kwa number hii S0264/0004/2008
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…