Umepangiwa chuo kipi na Course program ipi...?

Jaman nkifungua kwa simu acount inasema make application wakat kwenye acount internet ipo sawa program zote.jaman ushaur
 
mizinguo imeanza tena hebu angalieni tena kupitia airtel mtakayo yakuta cri yenu saiv hakuna option ya admission kweli tcu hawaeleweki
 
Hivi Ushirika yenye walimu wenye elimu ya kati inaweza kutoa Mwanasheria atakayeelewa kesi yoyote achilia mbali kumtetea yeyote kortini? Hapo hata upige msuli ni bila bila

kwan umeambiwa kila mtu anayesoma sheria lazima awe wakili au hakimu??
 
Majanga! Nimekodoa macho weee sijafanikiwa. Option ya admision haipo tena!
Je, status ya mkopo bodi itakuwa vipi! Mjanja atililike hapa maana duh presha high
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…