Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Nimepokea sms hii leo asubuhi,
Je kuna ukweli au ndo yale mambo yakusahaulishana yanayoendelea mtwara?
Je kuna ukweli au ndo yale mambo yakusahaulishana yanayoendelea mtwara?
sms said:Naomba uwe makini kupokea simu. Usipokee endapo utaona namba ngeni usiyoijua hasa hii 0800226655 kuanzia leo hadi tareh 24.08.2013 kwan freemason wanatoa kafara kwa kutumia saut endapo utapokea simu yao.Siyo utani wajulishe na wengine uwapendao.