Umesave vipi namba ya mchepuko wako??!Mi namewasave hivi nisikamatwe;

Halafu mnalalamikaga kusalitiwa eti...Uzi wa wazinzi na waasherati
 
Kapeace!πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kuna mtu kiutani utani alikuwa na ugomvi na mtu wake akamjibu kwa kutaja kapeace hehehehehe kumbe demu yumo humu wacha kinuke wacha aje pm kuniporomoshea mitusi mizitomizito akaomba nimtumie pic nikamtumia isiyo yangu na isiyovutia kwa dharau akajibu man wangu hawezi penda mtu wa iv yawezekana ulikuwa utani, akili zetu tunazijua wenyewe uzuri yaliisha salama
 
Kama mke wako mjanja, the strangest name she see, she should sense there is a strangest relationship. Weka jina la kawaida tu mfano la mzazi au kaka wa Demu wako.
 
Mods plz futeni huu uzi, unatoa siri za kambi wazi kwa adui hii ni hatari kwa sisi wenye Ndoa
 
Mi wengi nimewasave majina ya magari.
Mercedes benz
Chevrolet
Jaguar
Bugatti
Peugeut
Toyota
Mazda

Na wengine nimewasave majina ya matairi
[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] mfano
Pirrelli
Yana
Goodyear
Michelin

Wengine nimewasave kwa majina ya vituo vya mafuta[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] mfano
Oryx
Puma
Oilcom
Gapco
Big bon

Na kuna wengine nimewasave[emoji38][emoji23]
NMB
PBZ
CRDB
NBC
Barclays[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Mtaelewa tu
 
Just joking Kapeace na humu sina mtu pliz changamkia fursa nikusave.
 
Kwa jinsi vyuma vimekaza una wamudu vipi wote hao..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…