Umesha yaona haya

Sasa nitajua je kama huyu yuko kwenye kundi gani? Au mpaka yanikute? Na nikifa sasa itakuwa nimejisaidia je, walau ungetupa njia ya kuepukana na hao mabinti.
 

Kaka buji hapo kwenye redi ajali za kuvunjika miguu, mbavu mikono mh!
 
Sasa nitajua je kama huyu yuko kwenye kundi gani? Au mpaka yanikute? Na nikifa sasa itakuwa nimejisaidia je, walau ungetupa njia ya kuepukana na hao mabinti.

Ukiacha ukicheche hutakutana nayo!!!!
Labda awe mkeo.
 
sidhani kama yana ukweli labda uwe mshirikina na mtu wa kusomasoma nyota
 
kazi ipi mwali, ngoma umeiona nzito eee ndio hivo tena weka mchango wako


Niliona kazi ipo bada ya kujua fika mimi niko kundi la wajadiliwa
(for ni ke ) What eva unawakilisha ka wajitetea vilee....lol
Ngoja tuone hawa kaka zetu wanasemaje illi tujihami...
 
BujiBuji si kweli mtu wangu elewa kitu kiitwacho kudra haazidi jitihaha! Panga mipango yako, jifunze ulipokosea kwa vigezo, kuamini magundu mengine yanatokana na mademu ni kuleta hoja isiyo na majibu sahihi.
 
Saa zingine guilt tu ndio inasababisha hayo yote mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…