LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Hii inaweza kumtokea mtu yoyote haijalishi unahusika Moja kwa Moja au lah!
Mimi nakumbuka Kuna siku rafiki yangu akuja na mteja anauza dsk 1tb kwa 20 tu basi kwasababu nilimwambiaga nahitaji hivo akaamua kumleta muuzaji kwangu
Basi sijui nn kilitokea Ila nikajikuta nimekataa kununua ile zaga basi akaniomba nimuazime hiyo 20 yeye ailipie halafu mimi nibaki na hiyo disk
Nikampa hiyo Hela akaniambia akileta Hela nitampatia dsk yake tukakubaliana ataniletea baada ya siku mbili
Sasa kesho yake ikaja gari sehemu ninapofanyia kazi akashuka askari na rafiki yangu na huyo muuzaji wa disk askari akaniambia
Wewe kijana ndo unatunza mali za wizi sio hebu kalete hicho kitu haraka Sana
Nikakimbia ndani chapu nikawaletea wakachukua na wale jamaa wakarudi ndani ya gari wakaondoka
Nafikiri pona yangu ni ile gari ilikuwa imejaa ni zile Kama tax maana yule dogo alikabidhiwa studio hivo alichukua vitu na kuanza kuuza mtaani aliwauzia wengi Sana
Jamaa walienda kukaa siku 3 hivi ndani na mpaka kutoka kibunda kiliwatoka.
Mimi nakumbuka Kuna siku rafiki yangu akuja na mteja anauza dsk 1tb kwa 20 tu basi kwasababu nilimwambiaga nahitaji hivo akaamua kumleta muuzaji kwangu
Basi sijui nn kilitokea Ila nikajikuta nimekataa kununua ile zaga basi akaniomba nimuazime hiyo 20 yeye ailipie halafu mimi nibaki na hiyo disk
Nikampa hiyo Hela akaniambia akileta Hela nitampatia dsk yake tukakubaliana ataniletea baada ya siku mbili
Sasa kesho yake ikaja gari sehemu ninapofanyia kazi akashuka askari na rafiki yangu na huyo muuzaji wa disk askari akaniambia
Wewe kijana ndo unatunza mali za wizi sio hebu kalete hicho kitu haraka Sana
Nikakimbia ndani chapu nikawaletea wakachukua na wale jamaa wakarudi ndani ya gari wakaondoka
Nafikiri pona yangu ni ile gari ilikuwa imejaa ni zile Kama tax maana yule dogo alikabidhiwa studio hivo alichukua vitu na kuanza kuuza mtaani aliwauzia wengi Sana
Jamaa walienda kukaa siku 3 hivi ndani na mpaka kutoka kibunda kiliwatoka.