Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sina kiburi...ila ukimya wangu mtu anaweza kutafsiri Kama kiburi
ukileta ukimya mahali nahitaji JIBU unantafutia tu "matumizi mabaya ya mikono yangu"
 
Why ugomvi kila saa, wanawake bana. Mi sionagi sababu ya makelele zaidi ya kupeana mahaba tu ukiwa na mwanamke msikivu na mwaminifu.

Mapenzi yanakuwa full of fun if you do stuffs together as friends. Mnacheka pamoja na kupanga mipango yenu ya maisha, doing activities together.

Shida ya wanawake wa kibongo ni umalaya, anataka awe na wewe ila akianza kutongozwa nje anahamishia attention na huko matokeo yake ni kutaka ku sneak out. Ukiwa strict kumfatilia anaona unambana bana. Anaona unam suffocate...

Wengine tukiwa kwenye mahusiano hatupendagi jam, ukianza kuonesha tabia za ajabu ntakubana mpaka utaniona kero. Mwisho ntakukamata na tutaachana tu.
Ugomvi wa kila saa, utabwaga manyanga mapema mno walaqhi'.!
Utabaki una act 'perfectinism' ili tu usimkwaze seriously??
 

Kweli nyie hamtabiriki pia waliomagogo vitandani hamuwataki na wenye kujituma nao wanawekwa benchi[emoji848][emoji848]

Cc Kingsmann
 
una bahati wewe hadi raha yaniiii 🤣 🤣 🤣
 
Kweli nyie hamtabiriki pia waliomagogo vitandani hamuwataki na wenye kujituma nao wanawekwa benchi[emoji848][emoji848]

Cc Kingsmann
mwanamke umempa shoo ya kibabe saivi Goli 5 unaenda kazini

ukirudi anataka tena GOLI 5 unajua unaweza kufa hivi hivi

kuna madem engine zao ni za Lamborghini sasa anakutana na mimi mwanaume

nina ka engine cha SUBARU unajua lazima nichemke....
 
umenichekesha mkuuuu

wewe muogaa kudundwa ha ha ha ha
 
mkuuu una nyota ya kupata wanaume wachafu

angalia mishe mishe zako unazifanyia wapi

kama unapenda sana sehemu za wabeba kokoto,matofali,zege Badilisha

uwe unapita pita mitaa ya uzunguni uzunguni
 
unanihitaji mimi sana kwenye maisha yako

unaweza nifunga huu mdomo speed meter
 
sasa hivi vipi mama unadamshi damshi au bado tusubiri kidogo

maana maswala ya kuja kwenye party na yebo yebo hata mimi ntakukimbia
 
Ni 1 Wakorintho 6:9
 
Jamaa umeandika maelezo marefu me nmejua ni story yako kumbe loh...
 
hamna raha mmekaaa wanaume halafu anatokea mpenzi wako yuleeeee wanaume wenzako wanasema

oyaaaaa chekini mtoto yulee chekiniiii chekishiaaa daaaaah kuja kuangalia vizuri ni Dem wako

unawanyamazisha wana unawaambia "kuweni na adabu na shemeji yenu" hawaamini unachowambia

mtoto anafika unamkumbatia unamkiss unamleta karibu unampakata unamtambulisha kwa wanaoo

Unajua ile feeeling mzeeeeeee unajihisi upo na dem mzuri dunia nzimaaaaa hamna wakumkutia.


ILA sasa mtu anakuja kavaa ligauni la kijani mgomba, anatembea kama MATUMAINI aseee ukifika naeza kukusalimia

shikamooooo dada.
 
ubabe wa mwanaume ulinifanya nikatishe mahusiano.

Mwingine aliomba ndogo na huo ndiyo ukawa mwisho wa mahusiano.

Ubinafsi wa yule mwanaume ulinifanya nikatishe mahusiano.
Baharia bwana
 
Aise, mkuu umenichekesha sana aise, hawa dada zetu hawajui kabisa pale kwenye mtoko inabidi wavunje kabati maana hakuna mwanaume asiyependa kusifiwa kuwa demu/ mke wako ni kisu huwa tunafurahi kwelikweli...

Sio demu wako anafika kwenye sherehe kila mtu anafanya kumnyooshea kidogo vile alivyokuwa mporipori unaweza mkana mtu nakuambia aisee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…