Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Aiseee 😁😁😁😁😁
 
kweli wewe Kete ngumu
 
Wengine wamezaliwa hivyo
Unakuta wa kike ana homoni za kiume

sio kosa lake
Kuoa mwanamke anayependa ngono ni hatari kwa ustawi ndoa kwasababu huwezi kumuacha miezi 6 ukamkuta salama. Mfano. shughuli zako sa kusafiri safiri, yaani unatoka nyumbani unajua kabisa nikipitisha wiki moja nakuta ameshagongwa tayari. Hata mimi siwezi kuoa mwanamke mpenda ngono mpaka keshokutwa.
 
Mkwaruzano ndo kama hizo TIGO,Mwanaume mzima,sina nguo mpya.
Au wananzengo nimekosea?
 
Watu Mungu mnampenda kumbe ila kwa nini amri zake hamfuati? Back to topic, unaweza kumwacha mtu kwa kuwa eti hamtofika mbali kumbe yeye hana mpango wa kwenda huko mbali kwa hiyo ni vema ukaendelea kujiburudisha tu
And that's my nigga...
 
me alikuwa hana tabia ya kusema asante yaani haonyeshi uthamini hata kidogo. Ukimletea hichi atakwambia mbona hukuleta na kile.
halafu nina bahati mbaya na wanawake wa hivi sijui wote ndivyo walivyo?
Ndio mkuu wote wako hivyo kasoro wa kwangu.
 
Hayo majibu uyatoe nikiwa niko mbali na huo mwili wako. 🤣🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Sasa unakuta umemuelekeza mtu haelewi kabisa...tafsiri nyingine anataka useme "ndiyo" kwa kile anachokiongea
Usithubutu kukutwa na bwana pepsi mama! Utasimulia
 
Bora utambe tukiwa tunaongea kwenye simu tuu

ila tukiwa live ukinijibu hivyo "unalo" usiponijibu "unalo"

nataka majibu sahihi tena yajibiwe kwa adabu na sauti nyororoooo
Yani anajitapa kuwa atajibu majibu ya kanga mbele ya baharia...Kuna ule msemo wa "kenge hasikii mpaka sikio lake litapotoka damu" nitaukamilisha.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hapo kwenye hewa ya ukaa! Dah kmamamae nimecheka kisenge. Jamaa anajamba kishoga tu hewa mbovu
 
Ila sahivi vipi? Bad looking bado ipo maana mie ndio ugonjwa wangu huo? Sipendagi kushea mimi 🤣🤣🤣
 
Mimi wa kwangu alikuwa anaomba hela kila wakati, na ni mwanaume! Nikashindwa, nikampa ukweli, aka mind, akauchuna, na ndio ikawa mwisho, kwani hata mimi nilikuwa na majukumu
 
Jamaa umeandika maelezo marefu me nmejua ni story yako kumbe loh...
Hahahah me nshaachana na mtu pia, she was so demanding yani. Akipiga simu upokee usipopokea ni vita.

Akifanya hivi u respond yani she was attention seeking na alikuwa anaanzisha arguments over trivial matters. Nikaamua kukacha, hakuniingia vizuri moyoni maana pia alikuwa na tabia ya kuomba omba vitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…