Daaaah nilikua naiba paper au marking scheme za paper kupitia dirishani kwenye ofisi za maticha alafu naenda kuwauzia majibu watoto wa kishua, ilikua nawapa majibu alafu wao wananipa hela au wananinunulia maandazi......actually mwisho wa siku nilishikwa baada ya kuchomeshwa na maboya flani flani...Ila since then nikawa goodboy