tatizo hueleweki
Nadhani anadhamiria kuuliza kama mtu anawezampenda mtu mwenye kasoro!! Of which nadhani ni kitu cha kawaida kwani hakuna asiye na kasoro.
Au anataka kujua kasoro za wenzi wetu humu ndani..........eti The Boss useme "nampenda mpenzi wangu tatizo ana wivu!" Ni mfano tu wajameni maana JF mh! nimeivulia kofia
Lol wengine watakuja na ..Ninampenda wangu tatizo ana jasho hahahahnampenda wangu tatizo simuamini lol
na mimi siaminiki lol
<br />Simpendi wangu...tatizo amekamilika kila idara!